ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,236
- 2,142
unakubali kuwa mchepuko wangu?Kutofautiana mtazamo wa maisha, ndiyo tulipata mmoja .sitafuti mchumba tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unakubali kuwa mchepuko wangu?Kutofautiana mtazamo wa maisha, ndiyo tulipata mmoja .sitafuti mchumba tena
Tueleze mfano wa ujasiri wakoMimi ni mwanamke ninaejitambua, jasiri na mwenye uthubutu
Hakikisha baadaye huwasumbui wachungaji, mitume na manabii kukuombea ili upate mume, hii kauli ya kiburi cha ujana imewagharimu wadada wengi.Pole sina mpango wa kuolewa
Hilo nalo ni swali?Monicca ni mwanaume anaejifunika uanamke
Sijui kisa ni nn, hilo analijua mwenyewe
Kuna mda enzi izo alikosea kukoment kwenye uzi flan hivi na kuonesha uhalisia wake ni mwanaume ila akauedit
Mwenye akili akiunganisha mada zote alizoleta na kuangalia timeframe atajua tu
Moja ya evidence ni hii
View attachment 922189
Wewe umesemaje kwa post hii?Rejea post zangu za nyuma
Sitarajii kupenda tena, sina imani tena na watu wa jinsia hii, sina mpango wa kuwa na mahusiano tena ..hizi ni kauli ambazo mimi huwa naona ni za kinafiki tu na mara nyingine huwa zinatumika kama chambo na kuvuta attentionHakikisha baadaye huwasumbui wachungaji, mitume na manabii kukuombea ili upate mume, hii kauli ya kiburi cha ujana imewagharimu wadada wengi.
Yani usichana wako unakula na mtu mwingine halafu uje kutalajia kuolewa na boya lingine! Jitafakari this is chitchat thou.
upo mkoa gani??Kama kichwa kinavyojieleza.
Niulize chchte kuhusu mimi ..karibuni
Hongera kwa kutunukiwa Master'sKwahiyo unasemaje?
Hujawahi kufanya mapenzi na huko na mtoto?[emoji15]Sijawahi