Nipo safarini usiku huu ila nina mashaka sana na mtu niliyekaa nae siti ya jirani

Loose ball hiyo ila kama hauna mpango nao usimuulize ulize maswali, jifanye upo bize na mambo yako[emoji41][emoji41]
Aisee nakupata nakupata mjumbe wa kula matunda kimasihara. Ila yupo vizuri tu sema tu mimi nijia wakati mbaya hiyo fursana.
 
Mdadisi kama anakuangalia sana machoni hata kama huna habari nae jua kuna tatzo hapo mkuu dua muhimu.
 
Naomba nitumie number yake tafadhali
 
Nyama hio inaelekea kwa Muuza Bucha hujaelewa nini hapo mkuu?

Akishuka boda boda anapewa Simu anaelekezwa eneo la tukio mtu anaenda kuchakatwa

Tushazoea wanazunguka Nchi nzima hadi Nchi za ng'ambo wakipata zari wanakwea pipa wanaenda
 
binafs nina kisa kama iki ila kipo tofauti kidogo ntakiweka, in relationship with anonymous, nina date na pis ya kiarab mwaka wa pili sijui saut yake, picha anani2mia ila kamwe na katu hajawai ongea nikamsikia wala sim apokei, ila nilishawah ulza why anip jib sahh
 
Nimewai safir na mtu ananiletea nyodo ktk gar nimefika babt nishuke nichuke kipaja Cha kuku bas Ni grecious kipind hcho mbeya Arusha kumbe demu anaringa kumbe Hana hell alivyongazwa nimeingia ka kifurushi changu. Akaanxa kutabasabu nikasema hapa unipati ilifika maahali akaomba nimnunulie hata maji mnk Hana lolote

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ukageuka Kondoo au ukaendelea kua Mbuzi?
 
Acha woga ,Yan ivyo tu ndo umuhisi mtu kuwa si simtu...viashilia vyako vya kumhisi bado avitoshelezi...be coool nice journey
 
Mpigie video call
 
Wanasemaga majini huwa wananukia sana, vp huyo ananukia sana Marashi?
 
Wakuu shukrani kwa michango yenu nashukuru nimefika salama mpaka home. Nitaelezea mengineyo patakapokucha salama. Ila tu kwakifupi wazee wa kula tunda kimasihara ilikuwa ni kitoweo chao hiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…