Nipo safarini usiku huu ila nina mashaka sana na mtu niliyekaa nae siti ya jirani

Nipo safarini usiku huu ila nina mashaka sana na mtu niliyekaa nae siti ya jirani

Wasalimie bigwa kilakala pangawe kigurunyembe mafisa kola nk
 
Wakuu shukrani kwa michango yenu nashukuru nimefika salama mpaka home. Nitaelezea mengineyo patakapokucha salama. Ila tu kwakifupi wazee wa kula tunda kimasihara ilikuwa ni kitoweo chao hiki.
Yaan umekula kondoo ukaacha mkia?? We hauko serious. Lakn hongera kwa kufika salama
 
binafs nina kisa kama iki ila kipo tofauti kidogo ntakiweka, in relationship with anonymous, nina date na pis ya kiarab mwaka wa pili sijui saut yake, picha anani2mia ila kamwe na katu hajawai ongea nikamsikia wala sim apokei, ila nilishawah ulza why anip jib sahh
Hilo ni tapeli la kiume linataka likupige parefuu
 
Ingekuwa safari ya asubuhi au juoni nisingemuhisia vibaya ila hii ni safari ya usiku wa manane. Halafu kila kitu ajui yaaani hata anapoenda hapajui anachokijua ni msamvu tu basi anapoelekea baada ya msamvu hajui ni sehemu gani. Anasema babake ndiye atamuelekeza aahukue pikipiki anatakiwa aende kijiji gani.. tumefuka Ruvu hafanyi hata update kwa huyo babake kumjulisha kafika wapi.
Una ushamba high class ..hata mm ningekujibu sikufahamu nakokwenda coz unaonekana unabore balaa
 
Jifanye unaokota kitu chini mguse kifua kingine angalia chini miguu yake unyayo upo

Lamwisho mwombe dereva azime taa za ndani mtupie jicho lako usoni kwake ukiona anawaka Kama paka omba msaada gari iingie kituo polisi
 
Huyu hata akishikwa titi nadhani hatostuka kwasababu atafurahia kuona naingia kingi. Hapa katoa kanga ili ajifunike anasikia baridi, kaniambia eti tujifunike wote nikagoma. Siingii kingi kihivyo mimi
Beta male in his field...... naomba kujua umri wako mkuu!
 
Mwenyezi Mungu Karama aliotupa cc wanadamu ni kubwa..Kama angekuwa ni kiumbe c Cha kawaida mwili ungepata dalili kwanza..Mwili haukusisimka
 
Ungeenda nae kwenye kitimoto ungejua huko huko kama jini au sio jini
 
Wakuu nipo kwenye bus naelekea Morogoro na nimefika maili moja kwasasa, bus nililopanda ni 2 by 2 na pembeni yangu kuna msichana ananitia mashaka mno namuhisia ni mtu wa tofauti nikimaanisha sio jamii yetu (binadamu).

Mashaka yangu yanaanzia wapi?

Huyu msichana ni mrembo halafu anaonekana mjanja fulani hivi lakini cha kunishangaza konda kamuomba jina na namba yake ya simu ili amuandikie tiketi kwa njia ya online lakini akasema namba hajaishika kichwani. Ikabdi konda achukue namba yangu ili aandike tiketi kwa niaba yake kisha mimi ndio nijue namfowadia vipi tiketi yake.

La pili simu yake hachati wala hapigiwi na wala nini, kaibwaga tu kwenye kikoba. Kwa mtoto wa kike kwa mida kama hii kusafiri lazima uulizwe ulizwe na ndugu au mchumba wako au mumeo kuwa umefika wapi kwasababu ni safari ya usiku sana lakini kwa huyu ni kimya kimya.

Ukimuuliza swali lolote anajibu kwa haraka sana halafu lazima aulize swali hilo hilo kwangu kwamba na wewe je. Morogoro tutaingia usiku sana kwanzia saa nane sasa kama ni kweli sio jamii ya binadamu nitamkacha vipi? Maana kama hana nia nzuri basi hata nikichukua pikipiki itakuwa bado sio salama kwangu.
Aliwazalo mjinga......punguza kua na fikra potofu kias hicho angekua jini ungeona mwili wako unasismka kila mara.....we sema umempenda tu....muombe namba sa nane mkifika mvute lodge kamtie mboko.... nmesahau kukwambia huyo dada atakua anaenda mkoa kumfumania mume wake
 
Back
Top Bottom