Nipo safarini usiku huu ila nina mashaka sana na mtu niliyekaa nae siti ya jirani

Wasalimie bigwa kilakala pangawe kigurunyembe mafisa kola nk
 
Wakuu shukrani kwa michango yenu nashukuru nimefika salama mpaka home. Nitaelezea mengineyo patakapokucha salama. Ila tu kwakifupi wazee wa kula tunda kimasihara ilikuwa ni kitoweo chao hiki.
Yaan umekula kondoo ukaacha mkia?? We hauko serious. Lakn hongera kwa kufika salama
 
Hilo ni tapeli la kiume linataka likupige parefuu
 
Una ushamba high class ..hata mm ningekujibu sikufahamu nakokwenda coz unaonekana unabore balaa
 
Jifanye unaokota kitu chini mguse kifua kingine angalia chini miguu yake unyayo upo

Lamwisho mwombe dereva azime taa za ndani mtupie jicho lako usoni kwake ukiona anawaka Kama paka omba msaada gari iingie kituo polisi
 
Huyu hata akishikwa titi nadhani hatostuka kwasababu atafurahia kuona naingia kingi. Hapa katoa kanga ili ajifunike anasikia baridi, kaniambia eti tujifunike wote nikagoma. Siingii kingi kihivyo mimi
Beta male in his field...... naomba kujua umri wako mkuu!
 
Mwenyezi Mungu Karama aliotupa cc wanadamu ni kubwa..Kama angekuwa ni kiumbe c Cha kawaida mwili ungepata dalili kwanza..Mwili haukusisimka
 
Ungeenda nae kwenye kitimoto ungejua huko huko kama jini au sio jini
 
Aliwazalo mjinga......punguza kua na fikra potofu kias hicho angekua jini ungeona mwili wako unasismka kila mara.....we sema umempenda tu....muombe namba sa nane mkifika mvute lodge kamtie mboko.... nmesahau kukwambia huyo dada atakua anaenda mkoa kumfumania mume wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…