Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Kila jambo lina wakati wake.. Na wakati ukitimia hakuna kizuizi tena
Kikao kilimalizika kwa msimamo wa "ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu" hivyo nyie wengine msioe ili muipunguzie dunia na shurba zisizo za lazima. Au ulitoroka kabla kikao kumalizika?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka hakyananiElim kuanzia form four na kuendelea huko hakuna wife material [emoji1787][emoji1787][emoji1787] wife material la tano mwisho
Chini ya la saba ni wife material kwa form four kushuka chini..Elim kuanzia form four na kuendelea huko hakuna wife material [emoji1787][emoji1787][emoji1787] wife material la tano mwisho
Daah kumbe tulikuwa tunapishana na gari la mshahara.Ngoja nije Pm tuyajenge mkuu [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Kila la kheriHii ni kwa wanawake tuu yani wanaume haiwahusu:
Nahitaji mwanamke ambaye mungu akipenda ndiye atakuwa mke wangu. Njoo pm kama ni muhitaji nitumie sms huko tukielewana utapata namba zangu za simu nami nitapata zako.
Sifa zangu:
Dini: Mkristo
Umri:35
Elimu: chuo kikuu(masters)
Kazi: Ni muajiliwa (government)pia ni mfanya biashara.
Ninako ishi: Dar es salaam.
Muonekano wangu: Si mnene wala si mwembamba sana, si mweusi wala mweupe sana.
Sifa za nimtakae:
Dini: yoyote
Umri: 18 - 50
Elimu: Kuanzia kidato cha nne na kuendelea.
Kazi: Awe ameajiliwa au kajiajili.
Anako ishi: Iwe popote ila ukiwa Dar es salaam itapendeza.
Muonekano wake: Awe anajipenda, msafi mwenye adabu, heshima na utii.
NB: awe tayari kupima afya.
Naamini kuna wengine watadharau na kukejeri ila ninacho amini mke au mume mwema anatoka kwa Mungu na Mungu humpa mtu kwa njia yoyote ile hivyo hata hapa ni njia tu na ninaweza mpata mwenza wangu.
Kwendraaaaaaaa usibiri nini sasa? Au mwaka huu hutaki kuolewa? 😉Ee bwana ndiyooo..😂😂 sifa zote nimekidhi..ilaa🤔..subiri kwanza
Twen'zetu tukayajenge[emoji4]Karibu tuu tunaweza tukazungumza na yakakaa sawa tukaendelea na maisha.