Nipo serious sana katika hili, nahitaji mwanamke atakaye kuwa mke wa maisha yangu

Ila mkuu umesema una 35yrs lkn unataka mwanamke mpaka miaka 50!! Hii imekaaje mkuu??
Yani ninacho hitaji ni mtu sahihi kwangu mambo mengine sihitaji kivile cos amani na upendo kwenye mahusiano ni Muhimu kuliko vingine.
 
Kikao kilimalizika kwa msimamo wa "ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu" hivyo nyie wengine msioe ili muipunguzie dunia na shurba zisizo za lazima. Au ulitoroka kabla kikao kumalizika?

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]umegusa mule muleโ€ฆ
 
Elim kuanzia form four na kuendelea huko hakuna wife material [emoji1787][emoji1787][emoji1787] wife material la tano mwisho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka hakyanani
 
Elim kuanzia form four na kuendelea huko hakuna wife material [emoji1787][emoji1787][emoji1787] wife material la tano mwisho
Chini ya la saba ni wife material kwa form four kushuka chini..
 
Habari yako kaka...from love connect..tunawwza kuwasiliana zaidi?
 
Ngoja nije Pm tuyajenge mkuu [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Daah kumbe tulikuwa tunapishana na gari la mshahara.


Miaka yote najua wewe ni me.

Dah.

Ukikosa fursa fungua moyo basi
 
Kila la kheri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ