Nachokiona mkuu ni kwamba bajet yako ungeweza kuminimize katika baadhi ya Mambo
Mfano mafuta ya gari 200k kwa mwezi hii kubwa(km aina ya gari unotumia haili sana wese) punguza ruti za ziada kwa gari zaidi ya kazini.
Sadaka pia naona kubwa 69,000 (ingawa hapa sijaelewa ni kwa mwezi au kwa wiki) lkn fanya kuminimize kdg walau iwe ½yake
Ges 56,000 hii pia inachanganya kdg. Ni mtungi upi mdg au mkubwa? Nakushauri tafuta ges mtungi wa kati ule ukishajaza tu miezi 2-3 ndo unaisha
NB:- Ingawa wakt mwingine kupunguza bajet siyo soln bali kuongeza kipato ndy best soln.
Nashukuru kwa ushauri wa gari nadhan cc ya inanitesa juu ya ulaji gari ni 6cyclinder na ina cc 2194 route zake ni kazini asubuhi na kurudi home jioni wakati huo asubuhi nampitisha wife kijiweni kwake na jioni ananisubiri tunarudi wote home so mafuta ni Yale Yale,pia tunaitumia kwenda kanisani tu sinaga mizungunguko tofauti na hilo labda kwa nadra sana km hospital, mtoto kuchelewa gari la shule na kuwapeleka watoto Jumapili out kidogo sehemu za michezo.so gari inakula karibu fuel ya 10000 kila siku.
Kuhusu gas ni 15kg ambao sisi tunaujaza kwa 54000 kuna kipindi unaweza kusukuma mwezi 1.5 na itategemea na matumizi ya mkaa,means mkaa ukutumika sana gas haitumiki sana.
Yaani kwenye sadaka mimi natoa 5000 kila jumapili ×4 =20000 + wife 20000=40000
Watoto 1000@1×5=5000×4=20000.
Kumbuka hiyo 5000 inakuwa imegawanywa km 3/4 kimatoleo mimi ni KKKT Kuna sadaka ya Ahadi
Kuna sadaka ya Jengo
Kuna sadaka Utumishi
Kuna sadaka ya shukran ya wiki
Kuna sadaka ya 1/10 hii inategemea na unavoousikia moyo wako kutoa
Pia kumbuka hizo sadaka za mwanzo zina bahasha maalum na kumbukumku utunzwa,so unaona elfu 5000 ninavoigawa ha pa kupunguza hakuna
Anyway asante kwa ushauri make hapa tunashare experience.
Note;Mimi sio muumin wa michango ya harusi na ukinikaribisha hata kwa bure siji labda tuwe tumeshibana sana
Note:Sinywagi pombe za magroup wewe ukikuta bar nakunywa ukanizungushia sitakurudishia kusudi time husiangaike nami.Nikitoka home na ten ya kunywa hiyo inanitosha nikiona siku nina hamu ya kuchangamka nitajiLusekelo siku hiyo.
Note:Sinaga tabia ya kuhonga wanawake mimi ni binadamu mambo yakiwa hapa nitamtafuta rafiki roho inataka nitakunywa nae kama ni mnywaji na chakula kizuri tutakula na nitajitahid kufanya performance nzuri kwa bed km rafiki but kamwe hasitegemee hata mia kutoka kwangu,wanatokaga kwangu wamenuna but baada ya muda wananitafuta tena urafiki unaendelea.
Mara nyingi uwa nawatafuta waelewa ambae leo akinywa yako kesho nakunywa yako tofauti na hapo sinaga haraka na hawa malaika hasa wasiojitambua
×××hizo ndizo kasoro zangu km binadamu wa kiume×××
Halafu siamin ktk kukopeshana ukija kwangu unataka 100000 ya mkopo ujue nitakupa 30000 ya bure na sitakwambia ni ya bure kusudi ukinidhulumu roho isiniume pia sitaki kumpoteza mdeni wangu, so ni nimpe kidogo kusudi akae na kihoro yeye wakati mimi nina amani