Kwani ameandika kwamba hiyo sadaka anapeleka kanisani???Safi braza.... Dawa ya mjinga ni kuumia tu.
Aliyepotea mpoteze zaid asirudi teena.
Unatoa sadaka 75 unakuja kuomba ushauri... Akamuombe askofu wa jimbo anayempa ulaji.
Oa mkuu tena uoe mwanamke mkuda ambae hana matumizi makubwa ya pesa akusaidie kucontrol matumizi ya pesa...... Naona wewe mwenyewe umeshindwaDaaahh, na mimi nimechoma 156,900/= kuanzia tarehe 1/6/2019 hadi 8/6/2019.
Kucontrol matumizi huku ukiminimize inahitaji umakini sana
Mmmmmh unamshauri ale bora liendeHayo matumizi mbona yapo juu sana mkuu, unataka ununue vitu vyote kama unaishi na demu babu.
Deile nunua visamaki vya buku vile au misumari (dagaa), nyanya. Monthly nunua kitunguu, mafuta na unga wa ugali tu. Hivyo ndio masela tunavyoishi!
Sasa we unataka ununue hadi hoho,binzari, letuce,gilgilani magetoni!? Utakwama tu!!!
Sadaka:-mzee punguza vitu visivyo na msing kisha save money
hapo kwenye sadaka navojuaga ni utoe kile ulicho nacho. na inaonekana
wew ni muumin wa manabii wa zama hizi. sio mbaya
we cha kufanya uwe una beba pesa ya kukutoha usafiri mpaka church na kurudi na buku la sadaka pesa ingine iache home. kaza moyo ndugu .
ile chenji ya sadaka anzisha hata kamradi kadogo yani uwe unaingiza pesa sasa au vp
kamradi kanaweza kuwa ka buku teni au chini au juu kidogo ili mradi baada ya kutumia pesa nyingine ziwe zinaigia au vp jmaa
. Nilipoviona nilihisi kama budget itakua kubwa vile lakn kwa haraka haraka ni kama 160,000 . hii nikiwa na familia ntaifanyia kazi. Kwa sasa itakua nafanya uharibifuWeka utaratibu huu natumaini unalo fridge
Mchele kg 10 (16,000 - 22,000) - humalizi kwa mwezi
Samaki sato kg 2 (20,000)-utagawa kwa siku 4 (funga separate)
Nyama kg 2 (12,000) - siku 8 (1/4
Kg kwa siku)
Kuku 2 (15,000) - siku 4 (1/4 per day)
Nyanya sado 1 (4000-5000)
Vitunguu sado 1 (3000)
Bamia, hoho, karoti - (6,000)
Mafuta lita 3 - (17,000)
Tambi 2 (3000)
Unga kilo 5 - (10,000)
Maharage kilo 2 - 4000
Viazi ndoo ndogo - 7000
Na vingine vidogo vidogo - 15,000
Jaza fridge lako hapo unatoboa mwezi hayo mengineyo akili kumkichwa
Jumla?.. au tuanze kujumlisha?Weka utaratibu huu natumaini unalo fridge
Mchele kg 10 (16,000 - 22,000) - humalizi kwa mwezi
Samaki sato kg 2 (20,000)-utagawa kwa siku 4 (funga separate)
Nyama kg 2 (12,000) - siku 8 (1/4
Kg kwa siku)
Kuku 2 (15,000) - siku 4 (1/4 per day)
Nyanya sado 1 (4000-5000)
Vitunguu sado 1 (3000)
Bamia, hoho, karoti - (6,000)
Mafuta lita 3 - (17,000)
Tambi 2 (3000)
Unga kilo 5 - (10,000)
Maharage kilo 2 - 4000
Viazi ndoo ndogo - 7000
Na vingine vidogo vidogo - 15,000
Jaza fridge lako hapo unatoboa mwezi hayo mengineyo akili kumkichwa
Vocha? maji? umeme?View attachment 1122082
Kama picha inavyojionesha ndugu, wenye uzoefu na ujuzi nipeni maoni na ushauri, taie home 500
Sasa 75000 per week ni fungu la 10?niko single mkuu
mkuu hii bajeti ni wiki moja kma nilivyo specify , cm bando hua naunga la mwez, maji na umeme vipo ndo maana.hiyo bajeti haina uhalisia kama haina maji inamaana wiki nzima hukunywa maji? vifurushi vya cm n.k, sijaona hata umehonga wala pombe haipo
ndo mana nikaona nijitafakari, ahsante mkuuMkuu kwenye hiyo hela ya ndugu unatoa kila wiki au una kituo cha kulelea yatima?
Dah! ila kiukweli tunatofautiana kwenye hiyo bajeti yako ya wiki, ongeza elfu 50 mwenzio ndio bajeti ya Mwezi na nna mke na mtoto 1.
View attachment 1122082
Kama picha inavyojionesha ndugu, wenye uzoefu na ujuzi nipeni maoni na ushauri, taie home 500