Nipo single, haya ni Matumizi yangu ya wiki moja - nipe ushauri

hivi tango sio tunda !???

Anyway, ongezea na maji ya kunywa 97,000 na juice 89,000 , pia kuweka bajeti ya nguo bila viatu sio poa, vuta hata sneaker moja ya 73,000
Hahahahahaha huna nia njema na mwenzio
 
Huyu jamaa kanishangaza kweli yani
 
Anataka apike "Ratatouille"
 
Harafu jamaa wali hali na maji hana mpango nayo, maharage hapendi kabisaa,
 
hunywi pombe, huvuti sigara, huna demu. ww ni mtoto wa Yesu hakika
nilikua nae mkuu akanitenda vibaya sana,

Nikawa kila nikikaa nikikumbuka alichonifanyia nacheka ata mbele za watu, kuna uzi niliandika.

Alinidanganya sana. Tangu apo sijataka nitena shida, nashukuru Mungu now nimemsahau. Bwana ananipigania na niko na furaha
 
Mkuu hii ni heavyweight kabisa. More than 15M per year si mchezo kabisa anyway kama inapatikana pesa kwanini isitumike? If you earn spend!
 
kwa maisha ya kitanzania wewe ni mtu mwenye uwezo 😊😊😊
 
Nachokiona mkuu ni kwamba bajet yako ungeweza kuminimize katika baadhi ya Mambo

Mfano mafuta ya gari 200k kwa mwezi hii kubwa(km aina ya gari unotumia haili sana wese) punguza ruti za ziada kwa gari zaidi ya kazini.

Sadaka pia naona kubwa 69,000 (ingawa hapa sijaelewa ni kwa mwezi au kwa wiki) lkn fanya kuminimize kdg walau iwe ½yake

Ges 56,000 hii pia inachanganya kdg. Ni mtungi upi mdg au mkubwa? Nakushauri tafuta ges mtungi wa kati ule ukishajaza tu miezi 2-3 ndo unaisha

NB:- Ingawa wakt mwingine kupunguza bajet siyo soln bali kuongeza kipato ndy best soln.
 
Yeah,true ndo maana uwa sipendagi kupiga hesabu ya hizi vitu kwani unaweza kukufuru na kuiona familia imekunyima utajiri kwa muda mrefu kumbe ni haki yao kuwahudumia mpk wajitegemee,sijawahi kuijutia hali hii kwani ni katka kuwajibu wa kwanini uliwaleta kwa dunia halafu uwatese kisa unataka kumiliki magorofa/ma lodges.
Halafu cha ajabu ukiamua kusave pesa kwa kujinyima na kuipunja familia hiyo pesa haikusanyiki maisha [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mkuu hii ni heavyweight kabisa. More than 15M per year si mchezo kabisa anyway kama inapatikana pesa kwanini isitumike? If you earn spend!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…