Nipo Tayari kukosolewa: Hadi sasa Hakuna mtandao maarufu uliopangika zaidi ya JamiiForums kwa nchi zote za Sub saharan Africa

Kwa kuongozea, kuwepo option ya kublock mtu mazima, sio ku ignore. Yani ukimblock usimuone wala asikuone.
 
Umeanza kua chawa
 
Hili sikubaliani nalo. Lazima uwajibike na Kila kitu ulichokiweka mtandaoni. Kukwepa kutambulika kwa uliyoyaandika ni njia mojawapo ya kushawishi iwepo furusa ya kuwepo lugha za kuudhi hapa.

Katu hatuwezi kukubali sisi wanachama kindakindaki wa JF.
 
Na hili ndio linazaa fake Ids nyiing kwasababu mtu analazimika ku abandon Id ya zaman ili asijulikane.
Kuna aina mbalimbali za business strategies. SiseminJF wanaitumia hii. Biashara ya mtandao ni kuwa na members ama followers Sasa unadhani ili mtandao uwe na users milioni mia unatakiwa utumie njia ipi? "Tweeter" wenyewe inasemekana wanawekwa Hata "bot" kuonyesha Wana base kubwa ya members. Sasa hapo utashangaa nini?
 
Mkuu unaweza kuperuzi jf kwa free mode?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…