Zingatia hapa ulivyosema mwenyewe,itoshe kusema demu hakupend anaona wewe sio type yake...mwanamke anayekupenda kwanza yeye ndo anakubembeleza umuoe!Bado naendelea nae ila namchulia mtu asiye serious kwasasa natafuta mwanamke mwengine aliye serious niende nae huyu nimbwage.
Piga chiniHapa munanishauri vipi wadau
Dini yake ni IPI? Km ni mlokole pita kushoto haraka sanaila nikimwambia nia yangu nikajitambulishe kwao hataki sijui utoto sijui nini.
Wewe umepigwa CHINI mara ngapi mpaka una shauri wenzio wapigwe CHINI?Piga chini
Miaka 20 km buyu la chachandu ni ile iliyolala ina uchachu miaka 20 sio Mtoto ni mtu mzima tena Bora angekua Mwanaume Ila Mwanamke miaka 20 ni limama tayari hapo ni kusubiria kunyonyesha tu tena Hawa wa 2000 wanavyokua haraka km Mchicha wa Wiki siku 3 ndio kabisahuyo msichana umri bado, akili bado changa muache kwanza
oa wanawake wenye kuanzia miaka 24 hapo watakufaa huyo fundi cherehani achana nayeMimi 29 ila kimuonekano unaweza jua 24 mpaka nikulazimishe sana ndio ukubali 29
Mbembeleze mpambanieMimi 29 ila kimuonekano unaweza jua 24 mpaka nikulazimishe sana ndio ukubali 29
Kanunue ubani wahi kwao mtafute Mjomba barua Mkononi bahasha iliyonona isipungue 50k na Mama mtie 30k then subiria majibu, Pesa haijawahi kufeli na Ndoa za Kiislamu hazina mbwembwe Mahari ni msaafu na Juzu 1 unachukua mwali wakoIslam na mimi Islam