Nipo ugenini, wanapika chakula kidogo mno

Ndo siku nyingine uende guest au hotel
Nilikuja kuuguza wiki 3 nzima nilikuwa kwao unaweza kukaa gesti wiki 3 mzee?,kingine ilikuwa inanibidi niwahi kurudi saa 1 niwe nimerudi nilikuwa najistukia ila siku nyingine nilikuwa naishi maisha yangu halisi narudi saa 4 au 5 nakuta wameshalala chakula wamenitengea mezani
 
Jamani katika hili ni bora tu ukafikia lodge na chakula ukawa ukipatia mgahawani. Kufikia kwa ndugu labda kwa siku moja tu. Zinazofuata jiongeze tu unaweza jikuta matatani.

Yaliyonikuta hata siwezi maliza kuwaelezea.
kifupi ukienda ugenini hakikisha una akiba ya kutosha na usikae zaidi ya siku mbili.
Hapa ukitoa siku ya kuwasili na kuondoka.


Naomba kuwasilisha 🌿
 
Kwahio hizo lita 3 zako ndio unataka upikiwe chakula kama upo kwako... Mtu mzima unalalamikaje msosi kidogo.? Kabla hujafika home pitia sehem kula chochote ukifika home jazia....
 
Tumeiga uzungu gani acha kuwa mjinga

Uliona mzungu anaishi sehem isiyo na msitu?
 
Asee hii Kali, we mwanang sikuwez
 
Bora wewe umekata nusu,ningekua mimi ningekula wote,wao si ndio wenyeji wangeenda jikoni kupika tena,sio kula kama unaonja,kwanza huku kijijini kabla ya chakula tunaanza na karanga mara maziwa na manumbu mpka chakula kinakuja mtu ushaanza kushiba,
acha kabisa tena na msimu huu wa mahindi na maboga ni mwendo wa kukandamiza kijijini
 
umenikumbusha mbali kidogo wakati Niko ugenini halafu nakula mpepe a. k. a bangi nilitandika chupa ndogo ya chai na chapati sita kumbe ndo kifungua kinywa cha familia yote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23] Duuh chapati sita
 
Yaan ni kweli kabisa ,kuna familia watu ni wachoyo mnatafuta pesa za nin mnakula hata hamshibi [emoji23][emoji23] raha ya chakula kiliwe kibaki ukiona watu wanakula chakula kinaisha hakibaki ujue watu hawashibi
aisee acha tu kipindi nasoma chuo nilikaa kwa mpare moja nilijuta
 

Unga na mchele ndiyo vilivyopanda bei huku mjini. halafu wewe umeleta mafuta na kiti moto.
 
Chief zunguka zunguka huwezi kukosa chimbo la misosi
 
Kula kutokana na Kazi yako sio upo tu nyumbani hautoki unataka kula nusu ya Ugali mtu mmoja ni hatari kwa Afya binafsi Mimi sioni Kama chakula ni kidogo isipokuwa naona unataka kuforce kula Sana Kama mtu anayebeba zege .
We ni mhaya tabia zenu tunazijua hasa linapokuja suala la msosi.
 
Pole, kumbe Bado upo ugenini Hadi sasa. Kwa mazingira hayo vumilia tu. Ila kama utakaa kitambo Kidogo tafuta rafiki fasta ili uwenae matembezi mida Fulani hivi, kwa strategy hii atakuonyesha kijiwe poa tu.
Au jioni ile muda wa futari unaagiza vikombe viwili vya uji cha kwako na cha dada wa dukani...
 
R.i.p
Mzee familiar yenu inafanana na yetu Ila nyie mmetuzidi Sana,
Mungu awabariki
 
Nia gan walikua nayo hao asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…