Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha finishing[emoji23][emoji23][emoji23]
basi Uwe unapiga msosi hata kwa mama ntilie ukirudi hapo unafanya finishing tu.
Exactly,,nna huyo mama ndugu ukienda kwake familia kubwa atapika wali kwa ricecooker vikombe vitatu na vimboga mshenz then kinatengwa kdg sanaaaa mezanHalaf sio kwamba wao wanakula kidogo hapana huko wanapotoka makazini kwao wanakula wanashiba wakifika home wanajazilizia kidogo
Watu wa hivyo siku wakija kwenu wapikie chakula kingi na kizurii wale sana
Ndio hivyo bossMkuu hivyo vitambi ni vya bia tuu hamna kitu hapo ndani....... Nashangaa siku flani tumetoka na mwenyeji wangu kupiga gambe kidogo......., Kwa sababu ni mwanaume na kitambi chake ikabidi nimshawishi tupige b&w moja ili apunguze mafuta......
Weee nashangaa mtu nusu glass tuuu anaongea kipare mixture kikurya mwisho akalala......., Yaani mwili hauna nguvu kabisa ya kuhimili pombe kidogo ila mtambi huo duuh....., ikabid nibebe mzigo wangu hivyohivyo pakiza kwenye chuma yake peleka nyumbani huko.........
Ila jamani kuleniii acheni mambo ya ajabu... mko wanne pika wali kilo moja angalau ili mtu ashibe sio maswala ya kuonjeshana......,
Alikufa at age of 30 yrs can you imegine.
Ni wachawi ama[emoji1787][emoji1787]chakula cha usiku kinatakiwa mezan saa1 na nusu na saa2 watu waaanza kujihudumiaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umenikumbusha sehemu, wao walikua wanakula chakula Cha usiku saa sita
Acha uchoyoo wewee km hana uwezo sasa asijee amaUnaenda salimia watu nenda na chakula sio unapeleka mavi na mkojo
kula chakula kingi hakina faida mwilini zaidi ya kukufanya uongezeke uzito na kuwa na kitambiSema huko unapofikia, kutokana na kipato chao.
Nyingine ni mbinu za kufukuza wapenda kula kwa watu
Ndo atafute huo uwezoAcha uchoyoo wewee km hana uwezo sasa asijee ama
Mna roho gani nyie watu
Kwangu utapachukia sana 😢Ila ugenini kunaweza kukufanya usiwe na raha kuna sehemu nilifikia kabla ya kulala usiku wanaka ibada wanakusanyika sebuleni wakiamka ahsubuhi saa 12 kaibada nami sijazoea hiyo michongo
Kiukweli huwa wanakuwa wachoyo huwezi bania watu unaoish nao chakulaExactly,,nna huyo mama ndugu ukienda kwake familia kubwa atapika wali kwa ricecooker vikombe vitatu na vimboga mshenz then kinatengwa kdg sanaaaa mezan
Wakija kwangu mkoan tunawaandaliaa vzr sanaa kwa muda wote watakaokaa
Wanakula sana mpk unajiuliza why kwao hawapiki vingi
Sipend tabia ya kupika chakula kidogo ht watu wananyumban kwangu wanafahamu ilo km tunatafuta hela basi watu wa nyumba yetu wale na kushibaa wasisahau kushukuru Mungu
Kwanza ni aibu sana kulisha watu wasishibe. Sijui hata hao wenyewe wanajisikiaje.Exactly,,nna huyo mama ndugu ukienda kwake familia kubwa atapika wali kwa ricecooker vikombe vitatu na vimboga mshenz then kinatengwa kdg sanaaaa mezan
Wakija kwangu mkoan tunawaandaliaa vzr sanaa kwa muda wote watakaokaa
Wanakula sana mpk unajiuliza why kwao hawapiki vingi
Sipend tabia ya kupika chakula kidogo ht watu wananyumban kwangu wanafahamu ilo km tunatafuta hela basi watu wa nyumba yetu wale na kushibaa wasisahau kushukuru Mungu