Nipo ugenini, wanapika chakula kidogo mno

Kusema kweli mjini hasa Dar watu wanakula share ndogo sana. Chakula kinapikwa hadi unajiwazia kweli hiki watu wanashiba? Ila ndio life la town!!
Hela ngumu.wengine nk kukosa ukalimu.

Duniani kote mtu hukaribishwa moyo wa ukarimu unaanzia kwenye msosi kwanza. Mengine yanafata
 
Ndio maama hata unapokaribisha mgeni hakikisha kama una uwezo andaa chakula cha kutosha kama akishimndwa kula iwe juu yake.

Kula bila kushiba ni mateso aisee.

Shikaji akikaa hapo wiki mbili tu atakonda
 

Pigia salute kwa mwamba🫡 so unashangaa!!, hata mi kwangu sipendagi marafki urojo urojo yan mtu tonge mbiri ananawa hua siwaelewi kabisa, mtu unagonga ugari robo(minimam) mlo mmoja, pembeni upaja wa kuku na hips zake, supu bakuri la pembeni af mboga za majani pale unamalizia na juice af unamwita wife aje akunawishe, unawasha fen unangalia taarifa ya habari, sasa mwizi aje ajikatize usiku namyonga na[emoji123] sihami MBEYA🫶
 
😅😅😅
 
Na wala sio menene
 
ukitaka uwe una shiba....siku nunua unga kilo 5 ,utumbo kilo 3 , maharage kilo 4...pika vyote weka mezani waachiw waanze kupakua..then wewe malizia ....waambie hivi ndiyo inavyopaswa kuwa
 
Mimi mbona siwezi? Yani watu watakula kama kawaida..sasa kama sisi tumeshazoea kula kujigaragaza mgeni aje ndo tule kama mijusi..au hao ndo wamezoea hivyo ila sidhani itakua ni uchoyo tuu..ukute hatq huyo mume hashibi
 
Nakubaliana na wee [emoji817]
 
Mi hata nikiwa mkoa wenye mamangu mdogo sijui mjombangu.
Nafikia hotel, nitaenda kuwasalimia narudi kulala na kula ninakokujua!
Nitakaribishwa chakula nitakula kwa kuojnja sana ili niisharibu bajeti za watu!

Mambo ya kulala chumba cha kina juniya, woooi!
 
Ila ugenini kunaweza kukufanya usiwe na raha kuna sehemu nilifikia kabla ya kulala usiku wanaka ibada wanakusanyika sebuleni wakiamka ahsubuhi saa 12 kaibada nami sijazoea hiyo michongo

Jwanza haya mambo ya mtu mzima kufikia kwa watu sijuwi yanakuwaje Tanzania. Kwanini usifikie hotel ukawa huru?

Dunia ya leo si ya kufikia kwa watu, mahoteli yamejaa kila sehemu.

Kula kwa mtu ni kwa kualikwa tu.
Ni kweli lkn vipi kama kaja mjini kutafuta maisha watakaa lodge mpaka lini na istoshe hata hela lodge hana,muda mwingine tunabebana tu hivo hivo japo kuwa kuna baadhi ya wageni hawanaga shukran anataka ustarabu wake alikuja nao ndo ufatwe na wanakuaga na maneno ya kuwachafua wenyej wao hao. Hawafai
 
Nimekumbuka mbali kuna familia moja nliwahi fikia dar ubwabwa unapikwa ijumaa unaliwa jumamosi hadi jumapili chai,nyama inaliwa mchemsho tena namboga za majani chukwu chuckwu(hii nliipenda )japo sharti nyama ni moja moja kipande cha mshkaki duh. Kweli dar maisha magumu japo wengine na ka uchoyo kapo ndani yao...nyie ila nlikuwa na wakati mgumu wkend yote kugalagala na kiporo cha wali ..
 
We au ulikuwa mbinguni mwenzetu hujui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…