Nipo ugenini, wanapika chakula kidogo mno

Nenda lodge
 
Usione vingi, si vya kula siku moja. Hakuna anayezoea kula kidogo, ni njaa tu.
 
Ila ugenini kunaweza kukufanya usiwe na raha kuna sehemu nilifikia kabla ya kulala usiku wanaka ibada wanakusanyika sebuleni wakiamka ahsubuhi saa 12 kaibada nami sijazoea hiyo michongo
Kama jina lako
 
Nimeipenda hii, safi sana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tafuta kwako kijana

Acha kuhemea
 
Duuu! Hukutaka masihala jamaa, [emoji23][emoji23][emoji23] ulitisha kabisaaaaa
 
Nyumba yenye furaha ni yenye chakula cha kusaza. Sasa unakuta watu wanapika wali kwenye sufuria za kuchemshia chai! Kweli!!? Unakula hata ukienda toi unatoa kama mbuzi au mtoto!! Nyumba isiyo na chakula cha kutosha haina furaha hata kidogo.
Msipende kula hovyo kwa watu
 
Mtalaumu watu bure...
Sasa hivi maisha magumu tu! Vitu vimepanda bei pesa hakuna, si mijini wala vijijini. Labda kwa wale wenye fweza zao. Japo kwa wengine maisha yao yote wapo hivyo, hula kidogo.
Vijijini watu wanaishi kwashida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…