Nipo ugenini, wanapika chakula kidogo mno

Nipo ugenini, wanapika chakula kidogo mno

Sijawahi ona hiyo ya chakula kinatolewa kwa uchache kiasi hicho
Imagine mtu anaenda kununua nyanya mbili, kitunguu kimoja, mafuta ya jero, hoho moja, karoti moja, dagaa wa buku na unga nusu na robo.

Unadhani kuna nini hapo? Hongera mkuu kama hujawahi ona au kuishi namna hiyo.
 
Aisee hii iliwahi kunikuta kota za maafisa wa polisi Nyamkazi Bukoba ile familia ilikuwa inapika chakula kidogo sana nakula sishibi alafu ukimaliza kula unapewa maji ya bariiiidi sasa njaayake usipime ,jicho linanitoka kila nkitaka kutoroka nkale mgahawani watoto wa pale wananifata naishia kuzunguka nao na kurudi,,,nilivyorudi nyumbani nikaulizwa unaumwa nikasema hapana,,ila nikawa nakula kuliko kawaida mzee akasema huyu alikuwa na njaa ikabidi nisimulie,,,maisha ya mjini ni ya kipumbavu mno unakuwa jehanamu kabla hujafa!!
 
Aisee hii iliwahi kunikuta kota za maafisa wa polisi Nyamkazi Bukoba ile familia ilikuwa inapika chakula kidogo sana nakula sishibi alafu ukimaliza kula unapewa maji ya bariiiidi sasa njaayake usipime ,jicho linanitoka kila nkitaka kutoroka nkale mgahawani watoto wa pale wananifata naishia kuzunguka nao na kurudi,,,nilivyorudi nyumbani nikaulizwa unaumwa nikasema hapana,,ila nikawa nakula kuliko kawaida mzee akasema huyu alikuwa na njaa ikabidi nisimulie,,,maisha ya mjini ni ya kipumbavu mno unakuwa jehanamu kabla hujafa!!
Chief mimi naona Uliishiwa mbinu ya kuwatoroka hao watoto
Au uchumi haukua vzuri
 
Shida mzee watu wanaforce kuishi mjini ebu fikirikia mtu mzima na akili zake anakunywa juisi ya u-fresh ya sh 100 au 200 wakati anaweza kupata juice nzuri kwa sh 500.
Nilivyofika mwanza mjini kwa mara ya kwanza nilishangaa kwenye vtuo vingi vya daladala wanauza maji ya kunywa shilingi100 tena yanakua ya baridi kwelii
 
Halaf sio kwamba wao wanakula kidogo hapana huko wanapotoka makazini kwao wanakula wanashiba wakifika home wanajazilizia kidogo
Watu wa hivyo siku wakija kwenu wapikie chakula kingi na kizurii wale sana
Solution ni kuacha kufikia kwa watu. Kwanza kufikia kwa watu unabadili utaratibu wao wa maisha. Ni heri upange ratiba zako ufikie lodge ufante yako usepe
 
Alikufa at age of 30 yrs can you imegine.
Si unajua mtu akifa gafla maneno mengi lazima yatoke nani kasababisha?
Ilikuwa 1993 baba alikuwa akimsomesha sekondari bint wa bibi mmoja.
Siku mbili kabla ya kifo chake huyo bibi alikuja nyumbani akakuta baba yuko holi akaanza kulia nini kimempata mtoto wangu?
Huyo bibi alivyotoka analia akasikia umbea kuwa fulani wenda kafanya kitu.

Huyo bibi wakati huo alikuwa mmama wa makamo, mimi nilikuwa mdogo ila hiyo kumbukumbu ninayo.

Bibi huyo niliona kavua ndala kakimbia peku akielekea kwa huyo mtu walokuwa wakimsema wenda kafanya jambo baya kwa baba.

Alivyofika kwa huyo mtu nasikia alitembea na magoti akimuomba kama kafanya chochote basi asemè anataka nini. Nasikia huyo mtu akajibiwa bora akipelekwa hospital arudi jeneza na wengine tuwe na maisha mazuri.

Bibi huyo alirudi nyumbani analia akasema kama kuna mkono wa binadamu kwa mwanangu huyo mtu nishuhudie akimfata mwanangu. Nadhani huyo bibi alijuwa lazima baba afe.
Baba akapelekwa hospital j2.
Haya yote yanatokea mama alikuwa kaenda kujifungua......
Baba alikuwa amemsomesha kaka fulani hivi ana exposure ya kwenda hata sehem x, mbali kweliii alivyoona hali inakuwa mbaya ikabidi aandike barua amtume huyo kaka amwambie mama awahi. Usafiri zamani ulikuwa wa shida sana.
Huyo kaka alivyofika akakuta mama kajifungua mtoto wa kiume, akarudisha taarifa kuwa mama kajifungua atakuja alihamisi.
Juma nne huyo kaka akarudisha majibu kuwa mama kajifungua mtoto wa kiume atakuja alhamisi.

Baba akasema neno la mwisho " nimekufa bila kumuona mwanangu wa kifume" na dk hiyo akafariki.

Kweli mama anafika siku hiyo ya alhamisi analeta mtoto hajui habari za msiba wamesubiri wapi anakuta tunazika. Iliuma vibaya mno. Naikimbuka hiyo siku ila nilikuwa mdogo sikujua kuwa hatorudi.

Mtuhumiwa mauti nae yamemkuta mwaka jana baada ya miaka 29 ila yeye amedumu. Ameona wajukuu zake baba yangu hakuona kitu.

Mtuhumiwa siku alipo kufa, yule bibi aliyeenda kumuoma kama kafanya kitu arudishe moyo baba apone, bibi alivyosikia kifo cha mtuhumiwa wa kifo cha baba, alilia akasema fulani uliniulia mwanangu ukijua Mungu hakuoni? hayo ni malipo yako.

Maskini huyo bibi hata hamzai baba yangu sema tu alimsomeshea binti yake na huyo binti kwa sasa ni mwalimu mkuu.

Fatilia hata kwenu, watu wema wanaosaidia jamii hawawezi ishi muda mrefu. Akiishi sana miaka 50.
Dah poleni sana,sijui kwanini watu wanachuki namna hii inatisha sana

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Nampenda sana mtu, muwazi, mfano hapo ulipokuwa unaishi, mko watu 4, hapo unamwambia shemeji yako!!!

Shem !! Ongeza kipimo, mm mchoma mkaa napiga msosi!! kesho shem , ntakuonesha utaalamu wangu.

kisha Mtonye mshikaji, kesho naingia jikoni mwenyewe nitoe NGUNA ya wachimba mkaa maana binafsi sishibi.

Mchana rudi mapema ukiwa na vifaa JIKO, Usitegemee unga wao, mboga yao na viungo vyao. Ikiwezekana leta vya kutosha.

Siku moja, shemeji yangu alinifurahisha sana, tulikuwa tupo wawili nyumbani, yy akaniambia leo tupike UGALI, nikamwambia poa.

Sasa mm si najua utakuwa ni mdogo tu wa kishkaji !! Akaniambia shem sufuria iko wapi?
Nikamuonesha ,akasema hiyo ndogo shem mm NIMEZOEA kula mara 3, hii haitoshi .

Nilicheka kwa furaha sana kwa ule UKWELI wake, maana mm ni mvivu wa kula na haswa nikiwa peke yangu. Hivyo Angeleta WOGA na kufuata tabia zangu Angekuwa anaumia na njaa BUREEEE.

HAO jamaa zako , yawezekana mfumo wao ni kila mtu anapojihangaikia anakula kabisa jioni ni pashapasha wakati Mwenzangu unajua nyumbani ndo kila kitu.
 
Aisee hii iliwahi kunikuta kota za maafisa wa polisi Nyamkazi Bukoba ile familia ilikuwa inapika chakula kidogo sana nakula sishibi alafu ukimaliza kula unapewa maji ya bariiiidi sasa njaayake usipime ,jicho linanitoka kila nkitaka kutoroka nkale mgahawani watoto wa pale wananifata naishia kuzunguka nao na kurudi,,,nilivyorudi nyumbani nikaulizwa unaumwa nikasema hapana,,ila nikawa nakula kuliko kawaida mzee akasema huyu alikuwa na njaa ikabidi nisimulie,,,maisha ya mjini ni ya kipumbavu mno unakuwa jehanamu kabla hujafa!!
Si ungeenda tu kula na watoto mkuu[emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Ila kuna familia zina wanawake wana roho ambayo haielezeki
Kuna mpangaji mwenzangu nilisikia anaongea na simu analalamika kuna huyo mwanamke ameolewa na ndugu yao kila wakienda kumsalimia anawapikia dagaa tena zile dagaa zenye mchuziii pipaa
Wanasema yani mara zote kila wakienda ilhali baba mwenye nyumba huwa ananunua nyama zikae kwenye friji na friji limejaa na nje wanafuga kuku wa nyama wengiii
...nilitamani nimpige zoezi la water therapy (unamshika kichwa unamuingiza kwenye beseni lenye maji mengi )😅😅

Sema huwa sina mazoea nae ningemuuliza Unaenda kwa ndugu kula au kusalimia
 
Nampenda sana mtu, muwazi, mfano hapo ulipokuwa unaishi, mko watu 4, hapo unamwambia shemeji yako!!!

Shem !! Ongeza kipimo, mm mchoma mkaa napiga msosi!! kesho shem , ntakuonesha utaalamu wangu.

kisha Mtonye mshikaji, kesho naingia jikoni mwenyewe nitoe NGUNA ya wachimba mkaa maana binafsi sishibi.

Mchana rudi mapema ukiwa na vifaa JIKO, Usitegemee unga wao, mboga yao na viungo vyao. Ikiwezekana leta vya kutosha.

Siku moja, shemeji yangu alinifurahisha sana, tulikuwa tupo wawili nyumbani, yy akaniambia leo tupike UGALI, nikamwambia poa.

Sasa mm si najua utakuwa ni mdogo tu wa kishkaji !! Akaniambia shem sufuria iko wapi?
Nikamuonesha ,akasema hiyo ndogo shem mm NIMEZOEA kula mara 3, hii haitoshi .

Nilicheka kwa furaha sana kwa ule UKWELI wake, maana mm ni mvivu wa kula na haswa nikiwa peke yangu. Hivyo Angeleta WOGA na kufuata tabia zangu Angekuwa anaumia na njaa BUREEEE.

HAO jamaa zako , yawezekana mfumo wao ni kila mtu anapojihangaikia anakula kabisa jioni ni pashapasha wakati Mwenzangu unajua nyumbani ndo kila kitu.
Hapana, hakuna anakula TOFAUT na home , hakuna migahawa kbsa ,
Sema wamezoea tu kula kdg
 
Back
Top Bottom