Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,621
- 4,293
Nawasalimuni nyote wanamichezo. Kwanza kabisa mimi ni shabiki wa Simba kabisa ila kuna kitu hakiko sawa.
Sitaki kuongelea mambo yooote sababu hayataisha ila nalenga chanzo tu. Kumekuwa na hoja nyingi sana kuhusu Manara kuwa anafanyaje kazi simba huku akitangaza bidhaa za Azam, hilo lipo sahihi kabisa, ndio yupo sahihi, kwani nani kamwajili Manara? Ni Simba au Mohamed enterprises? Msije kuchanganya hapo Manara anafanya kazi Simba utamlazimishaje atangaze bidhaa za bosi wake wakati ni vitengo viwili tofauti?
Kwa mfano Umeajiriwa kazi ya kuuza dukani na mmekubaliana mshahara ni 60,000, utajisikiaje boss aliekuajiri akikulazimisha jioni baada ya kufunga duka ukamsaidie kufanya kazi za nyumbani? Utakubali?.
Mambo mengine yanatokea sababu ya kutokukamilika kwa mwanadamu pamoja hasira na jazba. Manara anaipenda Simba lakini kuipenda huko hakuwezi kumfanya afanye mambo yasiyo na maslahi maishani mwake.
Watanzania acheni kuchukulia mambo powa. Kama Mo alitaka atangaze bidhaa zake angepanda dau zaidi ya azam na kama alitaka avunje mkataba angeweza kulipa gharama za kuvunjwa mkataba huo?
GENTAMYCINE Mshana Jr
HONGERA MANARA KWA KUANGALIA MASLAHI YAKO BADALA YA KUANGALIA YA WATU.
Sitaki kuongelea mambo yooote sababu hayataisha ila nalenga chanzo tu. Kumekuwa na hoja nyingi sana kuhusu Manara kuwa anafanyaje kazi simba huku akitangaza bidhaa za Azam, hilo lipo sahihi kabisa, ndio yupo sahihi, kwani nani kamwajili Manara? Ni Simba au Mohamed enterprises? Msije kuchanganya hapo Manara anafanya kazi Simba utamlazimishaje atangaze bidhaa za bosi wake wakati ni vitengo viwili tofauti?
Kwa mfano Umeajiriwa kazi ya kuuza dukani na mmekubaliana mshahara ni 60,000, utajisikiaje boss aliekuajiri akikulazimisha jioni baada ya kufunga duka ukamsaidie kufanya kazi za nyumbani? Utakubali?.
Mambo mengine yanatokea sababu ya kutokukamilika kwa mwanadamu pamoja hasira na jazba. Manara anaipenda Simba lakini kuipenda huko hakuwezi kumfanya afanye mambo yasiyo na maslahi maishani mwake.
Watanzania acheni kuchukulia mambo powa. Kama Mo alitaka atangaze bidhaa zake angepanda dau zaidi ya azam na kama alitaka avunje mkataba angeweza kulipa gharama za kuvunjwa mkataba huo?
GENTAMYCINE Mshana Jr
HONGERA MANARA KWA KUANGALIA MASLAHI YAKO BADALA YA KUANGALIA YA WATU.