muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Papah mukubwaa...jambo ipo?..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazawadi mdogo wangu kama karanga, ubuyu au hata kalamu nitashukuru. Kumbuka nimekwambiaje? TKMmh! Sawa Kiongozi. Ila unajiamini sana, hadi kutoa sura yako hivyo. Ukizingatia maada unazozitoa. Ila sawa, walio na wanaokunenea mabaya wamejionea. Mungu, wa kweli awe nawe.
Ahsante!
Kumbe mshana we ndugu yangu kabisa!!Sijatumbuliwa na yeyote yule View attachment 426134japo niko mbali kidogo! Nitarejea soon
Dogo ulikimbia fursa ujue, hebu jirudishe huko!Mtu mzito.
Inaonyesha una Hela hatar.
Hahahaaa!! Huyu usingekimbia, ungejikuta unamtafuta mwenyewe.Hutu jamaa namfananisha na kaka mmoja hivi, nilimnywea bia zake nikamkimbia
Mwanaume hata awe shababi vipi, mbele ya demu ni kama tetere au ndezi, atanasa tu na mtego!!!Hahahaaa!! Huyu usingekimbia, ungejikuta unamtafuta mwenyewe.
Nitumie pm niyaone, kuna kitu nataka nikutabirie
Mganga anagangwa leo
you are so romantic my dear mshana!
Ole wenu mumtongoze huko pm!Yupo nami maeneo ya watu wazima tukibadilishana mawazo ya wajamii JF
Mkuu picha yako inazua tafrani, naona sifa zinakuja...wengine wanatabiri uko na ukwanja mwingi.....wakaribishe tu pm warizikeSijatumbuliwa na yeyote yule View attachment 426134japo niko mbali kidogo! Nitarejea soon
Mimi tayari nimeshahack pm yake na nipo kwenye pm yake tayari nafuatilia pm zote kwa kina na baadae nitascreenshot pm zote na nitazitupia hapa mkuu,stay tuned!!Mkuu picha yako inazua tafrani, naona sifa zinakuja...wengine wanatabiri uko na ukwanja mwingi.....wakaribishe tu pm warizike