Heshima zenu wakubwa zangu, mie ni mgeni katika jukwaa hili, naomba mnipokee katika kujuzana na kuelimishana katika mambo yanayotutokea sisi wenyewe na ulimwengu kiujumla.
Aisee karibu sana! umwage maumivu yako humu, na upewe tiba mbadala, nadhani wewe ni ME hivyo utaleta machozi yako hapa maana hili jukwaa .... wanaongoza kwa kulia kulia, (j.....o...k...e)
Aisee karibu sana! umwage maumivu yako humu, na upewe tiba mbadala, nadhani wewe ni ME hivyo utaleta machozi yako hapa maana hili jukwaa .... wanaongoza kwa kulia kulia, (j.....o...k...e)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.