Nipongezeni, Kaizer is officially a GOLD member!

hoja hii imeungwa mkono??????

Ndiyoooooooooooooooo!!

Hommie waeza niambia kwa kuwa Gold member kirahisirahisi namna hiyo inamaanisha tumepoteza bia ngapi vile?

Baada ya kusema hayo, naomba mwongozo wako kuhusu rasimu ya katiba yetu mpya.... Eti yampasa Gold member kuwa na wake watatu me senior expert members bila kutoa mahari??
 

Labisaaaaa Asprin rasimu inasema ivo sasa ngoja..sipokei PM ya mtu asiye senior expert member na wale gold watapewa kipaumbele

Hivi hommie huendi kwen smart partnership? Leo ni jumamosi ujue
 
Last edited by a moderator:
Yaani Kaizer mmetununulisha mayutong mabovu kwa ajili ya Obama pesa ndo mnakuja kuturingishia kwa my waifu wetu hapa..! Na huyu mai waifu Paloma anataka kuchanganywa na mahela ya kifisadi..! Subirini Obama aondoke..

Hahaa pole sana sosoliso the world is not fair kabisa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…