Nipongezeni, Kaizer is officially a GOLD member!

Nipongezeni, Kaizer is officially a GOLD member!

Nitafanya pale tu ubaguzi utakapopungua JF. Kuna watu hata watukane vipi hawapewi ban, kuna watu hata waposti nini kitaachwa ila wale unknowns kitafutwa mara moja au kupewa ban mara moja......haya yakiisha nitakuwa tanzanite member na sio gold

he he he sasa lowassa utamfananisha na obama?
Before anything you have to know your status
 
he he he sasa lowassa utamfananisha na obama?
Before anything you have to know your status

Status my A....sss h...ole,..... Kila mtu ana status it all depend wapi na saa ngapi hope umenisoma bibie
 
Status my A....sss h...ole,..... Kila mtu ana status it all depend wapi na saa ngapi hope umenisoma bibie

hivi usingetumia hilo neno ingekuwaje?
Anyway utakuwa nalo kubwa ndo maana umelitaja
 
Hongera sana Kaizer. So proud of you baba Watoto. N'shakuwekea zawadi huku ya pongezi... :wink2:
 
Last edited by a moderator:

hongera sana Kaizer
nikopeshe hako ka 30 basi na
mm nilipie nitakulipa mwaka mpya!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom