Zombie Sikutaji Humu Eeh
JF-Expert Member
- Jul 2, 2024
- 228
- 667
Hii ndio siri yangu ya mapenzi nimo JF kitambo ila nimeamua kuja kiufiche ili nipate kuwa huru
Mimi ni kijana(Me) eary 20 na sijafikisha 22 bado, Sijawahi Sex kabisa hili ni moja ya jambo ambalo linanitatiza sana why this to me, unakuta kijana wa miaka 17 anapiga story jinsi anavyo tembeza bakora unabaki kujiwazia mimi sijui kesho yangu lini?
Nimewahi kuwa na mademu kadhaa ila ndio hivyo sanasana kiss na wengi tulidumu mwez kwa kutoonana au kupotezeana hawazidi 3
Mimi na kutongoza paka na panya jamani sometimes watu wananiambia handsome ila hawajui ninachopitia kwa kujiona loser hasa ifikapo mwisho wa mwaka na kuona mwaka mzima sijafanya kitu ilihali mwisho wa mwaka uliopita nilisema nitafanya kitu na sasa ni mwisho mwingine wa mwaka ambapo nitaweka tena ahadi ambayo sidhani kama nitaitimiza
Sasa nipo single na sijui nitampata wapi mpenzi kwa muda huu (muda mwingi baada ya mihangaiko nipo gheto nimepoa( ndio maisha niliyofunzwa)
Last hili tatizo ni kubwa kwangu mimi hua najichua sio sana ila hua napiga nyeto sometimes hua sifeel raha kabisa ya punyeto like najikuna ila napigaga sababu tu sometime unataka ulale unono
Shida ni kuwa nimeanza kuwa na kitabia unusual ya kupenda mashemale yani hata nikipiga hua natamani mwanamke ninaempigia aacti as male na mimi as female yani zile style za yeye juu na kupish japo mimi ndio nimemwingilia
Pia kwa mashemale sio waniingilie bali mimi ndio niwaingilie (nimeona kwenye video) SIJAWAHI KUTAMANI KUWA SHOGA AU KUFANYA MAPENZI NA MWANAUME MWENZANGU
Pia hua nahisi kuwa nina moyo mdogo na siwezi himili mahusiano na kuvunjana moyo (kuna muda nakuwa na depression) utakavyoniona usoni si moyoni
Hebu nishuri na kuniambia japo labda neno lako litanifungua macho
Natamanigi niwe single milele ila sio kweli sababu kuna muda familia itataka kuona watoto, mke na pia nipate mtu wa kupiga nae story
Mimi ni kijana(Me) eary 20 na sijafikisha 22 bado, Sijawahi Sex kabisa hili ni moja ya jambo ambalo linanitatiza sana why this to me, unakuta kijana wa miaka 17 anapiga story jinsi anavyo tembeza bakora unabaki kujiwazia mimi sijui kesho yangu lini?
Nimewahi kuwa na mademu kadhaa ila ndio hivyo sanasana kiss na wengi tulidumu mwez kwa kutoonana au kupotezeana hawazidi 3
Mimi na kutongoza paka na panya jamani sometimes watu wananiambia handsome ila hawajui ninachopitia kwa kujiona loser hasa ifikapo mwisho wa mwaka na kuona mwaka mzima sijafanya kitu ilihali mwisho wa mwaka uliopita nilisema nitafanya kitu na sasa ni mwisho mwingine wa mwaka ambapo nitaweka tena ahadi ambayo sidhani kama nitaitimiza
Sasa nipo single na sijui nitampata wapi mpenzi kwa muda huu (muda mwingi baada ya mihangaiko nipo gheto nimepoa( ndio maisha niliyofunzwa)
Last hili tatizo ni kubwa kwangu mimi hua najichua sio sana ila hua napiga nyeto sometimes hua sifeel raha kabisa ya punyeto like najikuna ila napigaga sababu tu sometime unataka ulale unono
Shida ni kuwa nimeanza kuwa na kitabia unusual ya kupenda mashemale yani hata nikipiga hua natamani mwanamke ninaempigia aacti as male na mimi as female yani zile style za yeye juu na kupish japo mimi ndio nimemwingilia
Pia kwa mashemale sio waniingilie bali mimi ndio niwaingilie (nimeona kwenye video) SIJAWAHI KUTAMANI KUWA SHOGA AU KUFANYA MAPENZI NA MWANAUME MWENZANGU
Pia hua nahisi kuwa nina moyo mdogo na siwezi himili mahusiano na kuvunjana moyo (kuna muda nakuwa na depression) utakavyoniona usoni si moyoni
Hebu nishuri na kuniambia japo labda neno lako litanifungua macho
Natamanigi niwe single milele ila sio kweli sababu kuna muda familia itataka kuona watoto, mke na pia nipate mtu wa kupiga nae story