Niponipo sijui woga, uzembe au ni nini? Nishaurini kwenye hili nisije haribikiwa

Niponipo sijui woga, uzembe au ni nini? Nishaurini kwenye hili nisije haribikiwa

Hiyo ni stage tu utaivuka. Ila kuna kuivuka salama au kuivuka ukiwa na alama. Kwanza acha kabisa kuangalia porn, then uache nyeto. Baada ya hapo tafuta dem ufanye juu chini upige na ujitahidi kudumu nae kwenye mahusiano.

Kutokana na ukomavu wa tabia yako, unaweza ukajikuta haufeel raha ya kufanya kua na mwanamke na kufanya mapenzi ila huo utakua mwanzo tu, jitahidi kuishi hivyo na maisha yako yatarejea
Kazi kubwa ni kupata huyo demu au nijipendekeze tena kwa X wangu sina options yani
 
kama ni experience kuhusu nyeto ninayo huwezi sema etii unapiga halafu uoni raha yake kuwa makini sana ....kijana mwenzangu ni heri ubaki single kuliko kupiga nyeto.....nakuonea sana huruma
Ongezea nyama kidogo nini kilikukuta, na unawezaje kuwa single na vilevile kutopiga nyeto
 
Hiyo ni stage tu utaivuka. Ila kuna kuivuka salama au kuivuka ukiwa na alama. Kwanza acha kabisa kuangalia porn, then uache nyeto. Baada ya hapo tafuta dem ufanye juu chini upige na ujitahidi kudumu nae kwenye mahusiano.

Kutokana na ukomavu wa tabia yako, unaweza ukajikuta haufeel raha ya kufanya kua na mwanamke na kufanya mapenzi ila huo utakua mwanzo tu, jitahidi kuishi hivyo na maisha yako yatarejea
Ushauri wa mkuu juu apo ukiongeza + Sala kwa imani yako na kazi uwe bize kijana.
 
Tangazo la biashara, wazee wa kazi wahini sokoni
Kiuhalisia nilitegemea mawazo chanya na thousand ways za kunirudisha kwenye line ila nimegundua jambo bora ufe na jambo lako moyoni kuliko kulipeleka kwa watu

Hebu fikiri jambo kama hili ni rahisi kuongea na rafiki, mzazi au ndugu

Ila kwa kua sijulikani nililileta hapa lakini still nimejua nini kitanipata hata kama nikienda kumwambia mchungaji wangu 😮‍💨
 
Kiuhalisia nilitegemea mawazo chanya na thousand ways za kunirudisha kwenye line ila nimegundua jambo bora ufe na jambo lako moyoni kuliko kulipeleka kwa watu

Hebu fikiri jambo kama hili ni rahisi kuongea na rafiki, mzazi au ndugu

Ila kwa kua sijulikani nililileta hapa lakini still nimejua nini kitanipata hata kama nikienda kumwambia mchungaji wangu 😮‍💨
Mkuu wewe ni last born?? Au ni mtoto wa kiume pekee katika familia?? Au ni mtoto wa kiume ulielelewa na mama pekee??

Lipi sahihi hapa?
 
Back
Top Bottom