Niponipo sijui woga, uzembe au ni nini? Nishaurini kwenye hili nisije haribikiwa

Niponipo sijui woga, uzembe au ni nini? Nishaurini kwenye hili nisije haribikiwa

Kijana upo kwenye ka-momentum ambako kanakupeleka kwenye urahisi wa kuwa shoga.....

Hizo idea sijua za ku-act as a female zitakufanya siku ukutane na mtu usiyemtarajia akufanyie usiyoyatarajia kwenye muda usiyoutarajia na ukawa mtu usiyemtarajia..

Usijichanganye hiyo PROSTATE siku iguswe ukapata Orgasm,,, utapunguza idadi...
 
Hiyo ni stage tu utaivuka. Ila kuna kuivuka salama au kuivuka ukiwa na alama. Kwanza acha kabisa kuangalia porn, then uache nyeto. Baada ya hapo tafuta dem ufanye juu chini upige na ujitahidi kudumu nae kwenye mahusiano.

Kutokana na ukomavu wa tabia yako, unaweza ukajikuta haufeel raha ya kufanya kua na mwanamke na kufanya mapenzi ila huo utakua mwanzo tu, jitahidi kuishi hivyo na maisha yako yatarejea
 
kwa nn awe shemale? umeanza kutamani vitu against na nature yako, unaanzae kutamani kuwa mwnaamke kwenye tendo? yani bro unaona tunafaidi sana s ndio eti?
Sorry but sijasema natamani kuingiliwa ila nifanya kama mwaume ila nimekuelewa i will try my best to be straight

Pia vijana tuache kuangalia video chafu au movies zinatuharibu sana
 
Kijana upo kwenye ka-momentum ambako kanakupeleka kwenye urahisi wa kuwa shoga.....

Hizo idea sijua za ku-act as a female zitakufanya siku ukutane na mtu usiyemtarajia akufanyie usiyoyaitarajia kwenye muda usiyoutarajia na ukawa mtu usiyemtarajia..

Usijichanganye hiyo PROSTATE siku iguswe ukapata Orgasm,,, utapunguza idadi...
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom