Nipsey Hussle: Nyota ya Afrika Mashariki kutoka katikati ya magenge ya kihalifu na kuangaza katika sanaa ya Muziki wa kufoka foka (Hip Hop)

Huyi jamaa alikua na harakati za kuibadilisha jamii aliyokulia alikua akishirikiana na polisi kwenye maswala ya jamii sasa sijui shida ilikua ni wapi

kifo chake kinausishwa hasa na documentary ( za kutestify) alizokua anatoa juu ya Dr. Sebi, yule wa Honduras

( em zama Google kuhusu uyu dk. na issue za cure on HIV-AIDS , tension kati ya Dk. na watengeneza njugu aka ARV )

kifo ichi kinafananishwa na kile cha Left Eye ( Lisa Lopes ) wa TLC

Wote hao walikua vinara ku testify kazi za uyo Dk.
 
kuhusu kuwekeza na kuachana na utamaduni wa magenge ya kihalifu yanayoleta mauaji yasiyo na tija

Ye mwenyewe katika mienendo yake alihusika vipi kuendeleza "utamaduni wa magenge ya kihalifu yanayoleta mauaji na yasiyo na tija"?
 
hivi kesi ya Simpson imeishaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu tukiitwa Nyani tunalalamika
 
jamaa alikuwaga Mnyamwezi sana!R. I. P Nip!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…