Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,795
Wadau, kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Ninajitahidi kupunguza uzito wa gari yangu toka 960kg angalau ifike 600kg!
Nia na madhumuni ya kutaka kupunguza uzito, kwanza ni kuiwezesha gari iwe nyepesi ili niweze kuendelea kuruka kwenye matuta kwa urahisi.
Pili, ni kupunguza kiwango cha wese ambacho gari inakula.
Ninapofika kwenye matuta, huwa sipendi jinsi gari inavyodunda, sasa kuhakikisha hilo nimeshaanza na kung’ofoa spare tairi kitu ambacho kimeniwezesha niweze kupunguza uzito, kwa takribani 30kg.
Sasa baada ya hapa sioni tena kitu kingine cha kung’ofoa. Sijui ning’ofoe difu!, makochi ya nyuma au?
Embu manaofahamu magari naombeni ushauri wenu. Nitazitoa wapi hizi kg mia tatu ili gari ibaki na uzito wa kg 600?
Nia na madhumuni ya kutaka kupunguza uzito, kwanza ni kuiwezesha gari iwe nyepesi ili niweze kuendelea kuruka kwenye matuta kwa urahisi.
Pili, ni kupunguza kiwango cha wese ambacho gari inakula.
Ninapofika kwenye matuta, huwa sipendi jinsi gari inavyodunda, sasa kuhakikisha hilo nimeshaanza na kung’ofoa spare tairi kitu ambacho kimeniwezesha niweze kupunguza uzito, kwa takribani 30kg.
Sasa baada ya hapa sioni tena kitu kingine cha kung’ofoa. Sijui ning’ofoe difu!, makochi ya nyuma au?
Embu manaofahamu magari naombeni ushauri wenu. Nitazitoa wapi hizi kg mia tatu ili gari ibaki na uzito wa kg 600?