Mbona mkali hivi !![emoji848][emoji848][emoji848][emoji848], hahaha atakaye kukopesha imekula kwake, siku ya kuja kudai lazima utamwambia “mbona vihela vyenyewe vidogo lakini tunasumbuana hivi kama vile nimesema sikulipi, si usubiri .....”
Wew ni mwanamke mwenye gubu sana, japo sikujui lakini naweza tabiri tabia yako
Samahani kama nimekukera
Sent using
Jamii Forums mobile app