Nisaidie tafadhali nimechanganyikiwa.

hapo ndio unapokosea. It is not about them. It is about you. It is them who should worry about satisfying you.
Kuna baadhi ya Hii mijitu ukiiuliza how do I satisfy you, you will end up in trouble.

wewe ndo unakosea , in sex it's not role of men to satify women. Mungu kauweka utamu kwa mtu mwenyewe, hivyo ni wajibu wa mtu huyo kuutafuta utamu. Ndo mana mtu anaweza mtu anaweza kujiridhisha hata kwa kujichua na bado akaona utamu kwa sababu utamu anao mwenyewe. Hivyo mwache mwenzio ajitafutie utamu.
 
hapo ndio unapokosea. It is not about them. It is about you. It is them who should worry about satisfying you.
Kuna baadhi ya Hii mijitu ukiiuliza how do I satisfy you, you will end up in trouble.
So ishould not worry?nirelux tu yeye amalize mambo yake bhana naona karaha ujue uko na mtu yeye anaenjoy anascreem wewe upo tu unashangaa ni kama adhabu hii.
 
Nimeuliza we kavila gani sio mtu wa wapi?Bukoba kuna Waganda,Wanyarwanda,Wanyambo na makabila mengine mengi Mdogo wangu,sem wewe kabila gani!<si umeomba kusaidiwa?!

ok ok am soory mimi ni mhaya.
 

wewe bwana wewe unapotosha. Chukua asali weka kwenye kidole. Utamu utaupataje bila kutia mdomoni? Ajichue kwanini wakati mi ---- ipo?
 
Ndugu yangu maswali yako ni mengi ila ntajibu yote maana hari si shwari kwangu.Kuhusu ananiandaaje naamini anaiandaa vyema tu maana nimeshawashilikisha rafiki zangu kunambia hatua za maandalizi nikilinganisha na za boy wangu naona sawa ,usafi na mazingila vyote nivizuri vinapotakikna wapenzi kuwa maana tumekuwa na kawaida ya kubadilisha manthari.Maumbile yake ni size ya kawaida kabisa na hutumia mda depending na tuko vipi siwezi kadilia.
 
Dah yawezekana ikawa ni tatizo la kisaikolojia......jaribu kuwaona wataalamu wa saikolojia.....
 
Labda madaktari waje washauri kitaalamu zaidi...
Binafsi naona hilo ni tatizo la kukosa 'nyege'
Unapo'do' huwa unafika 'tamati' kawaida? Una uhakika 'me' huwa imekufit vizuri wakati wa tendo au zote hukupwaya?
 
So ishould not worry?nirelux tu yeye amalize mambo yake bhana naona karaha ujue uko na mtu yeye anaenjoy anascreem wewe upo tu unashangaa ni kama adhabu hii.

no sweetie. Ninachomaanisha ni hivi. Huyo mwenza wako inabidi afanye mambo tofauti ya kukuamsha hisia za kufanya mapenzi ili muenjoy wote. Sio unabinuka weeee lijamaa lina thrust tu halafu likimaliza linajilaza smiling like a goat na wewe umemtolea macho wondering where am I?? Huyo tupa kule.
 
Ndugu yangu pole sana tatizo lako ni dogo sana ila likipata mjuzi umpate mwanaume ambae anafahamu maana ya huba na sio mapenzi tatizo lako ni 1 kati ya haya
1 ni kua mpenzi wako anashinda kukuandaa
2 kashindwa kuijua sehemu yako ya hisia
3 maandalizi ya mapenzi unahisi km ni uchafu
4 hisia zako ziko mbali sana na unapozihisi zinakuja unajilazimisha uonekane shujaa
Ushauri
Raha jipe mwenyewe usisubiri kupewa mapenzi ni hisia na ukishikwa ushikike sio umekaa km bubu kwani mapenzi ni sanaa km sanaa nyengine
Ukihitaji ziada ni pm nikupe namba nikueisishe elimu
 
Kwa uwezo Mungu amenipa na saikolojia ya mapenz ninavyo ielewa mimi. Orgasim yako ipo mbali sana, unamuitaji mwanaume asie na papara pindi yupo nawewe kitandani, pia unaitaji mwanaume ambaye anapenda michezo yakitandan mwenye uwezo wakukushika kila sehemu ya mwili yako yan kama kwa kutumia ulimi,lips,uume na kucha. Pia unaitaji kumpata mwanaume anakudadisi vile unajisikia kwa kila atua ili aweze kukuchezea zaid pale orgasm yako inapanda. Kumbuka tatizo linawasumbuwa wanaume weng nikuwah kukojoa na kuishiwa nguvu yakupanda mtungini, pili wanaume weng gol la pili nitatizo hivyo kuwa vigumu kukupandisha mzuka. Ukifanya hayo na ukawa bado then juwa lipo tatizo. Upande wako either unamsongo wa mawazo,au uliwah kubakwa na imekufanya kuchukia tendo la ndoa au umetupiwa majini ila huko kuna ushauri wake. Asante
 

Asante kwa ushauri mzuri!
 

Asante wangu ila bahati mbaya kwangu tu ila nikijua naenda kudo najiandaa vizuri naepusha mawazo ya maudhi nazima hadi simu naconsetrate utazani nafanya mtihani but nothing,
 

Asante wangu ila bahati mbaya kwangu tu ila nikijua naenda kudo najiandaa vizuri naepusha mawazo ya maudhi nazima hadi simu na najiachia kiroho hadi kimwili na consecrate utazani nafanya mtihani but nothing,
 

Ndugu yangu nashukuru kwa ushauri yaani kwa kweli mie nimejitahidi kwa upande wangu sijui nini sijafanya hapa nikifahamu kwamba naenda kutana na mpenzi wangu najiandaa kiroho,kimwili hata kimawazo najiweka flexible maana natamani kupata hiyo raha ila siisikii labda upande wake ntanshiliksha ushauri wako.
 

HahAAaa ua so fun iwish nikuone maneno zako yamenifanya nismile like no problem asante mamy kwa kunicare ua so sweet.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…