Dada yangu ni mjamzito wa miez8 tatizo kaambiwa fuko la uzaz limeshuka sana, halaf kama wiki hivi anahisi maumivu ya kiuno kama ametunza taka (majipu) na chini ya kitov na K vinauma sana, je ni kawaida ya ujauzito au ni tatizo ?
Ni mimba yake ya kwanza nimempeleka kwa dokta kamkanda then kamwambia tarehe 20.7 niende nae tena na mtoto amesha geuka, naomb msaada wenu waungwana.
Natanguliza shukran
IWISH YOU SWAUMU MAQ-BUL.
Ni mimba yake ya kwanza nimempeleka kwa dokta kamkanda then kamwambia tarehe 20.7 niende nae tena na mtoto amesha geuka, naomb msaada wenu waungwana.
Natanguliza shukran
IWISH YOU SWAUMU MAQ-BUL.