Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
- Thread starter
- #41
Ushauri mzuri ila si unajua wakubwa Serikalini wanavyolindana.tafuta simu inayorekodi na urekodi matukio yote hayo na kisha mteme kwani umri wako bado mdogo na urekodi video kwa kuweka simu kwenye mfuko wako wa shati jepepesi akianza visa rekodi akitishia kukufukuza kazi mpeleke ngazi husika.MAISHA NI MSIMAMO pole sana