Your very wrong coz tangu nimeachana nae wala sijaonana nae tena na hata anavyonifatilia sijawahi kumuona zaidi ya anavyotuma msg basi,na wala simu-entertain kwa lolote kwan wala sijajibizana nae hata cku moja.
Nimekuelewa mkuu,asante kwa ushauri....okey, nilikuomba samahani kabla, unakumbuka?
well,...huna la kumfanya...WEWE ENDELEA NA MAISHA YAKO.. huyo b'friend mliyeachana nae sasa ni woga wake tu,
kama angekuwa anakupenda ki ukweli, angekulinda na mngeendelea na mapenzi yenu. both of them don't worth your precious love.
Asante mdau.cha msingi mpuuzie tu.usijibu sms yake hata moja wala huna haja ya kumsumbua mkewe kwa kumtumia meseji.just ignore him completly hatimae atajiona **** ****.tena mdengulie kupita mfano.na uzidishe kuwa mrembo maradufu.
Asante Tessa wala hana anachodai usumbufu tu na ndio maana mwanzon hakunisumbua mpaka akaoa kaibuka tu from no where na huu upuuzi wake.mpendwa usikute anakufuatilia yumkini uliondoka na vitu vyake au alikugharamikia sana, as hata mie nilisumbuliwa sn km ww at the same time alikuwa na mtu mwingine bt alikuwa anafuatilia nyendo zangu. alichokosea alimwambia rafiki yake atahakikisha ananiharibia kufidia gharama zake!! alizonigharamia tukiwa pamoja. nilipojua hivyo nilikusanya kila alichonipa nikampelekea akapunguza kunifuatilia then kila mtu na lwake ss yy kaoa nami nikaolewa. ni ushauri tu.
Shantel mawazo yenu yalikuwa muhimu sana kabla sijaanza kudeal nae,asante kwa ushauri.Dawa ya moto ni moto, nafikiri kama alivosema mwenzetu hapo juu, mwambie mkewe ili nae akione cha moto tena mwambie amtulize mumewe nyumbani asikusumbue, angekuwa anakupenda si angekuoa hana lolote huyo
Katu sitamwendekeza lzm ifike mahali kila mtu awe huru na maisha yake.ripoti police maana ameshakutishia na inabidi umwambie live kuwa akae mbali nawe kwani hamna mahusiano nae ya aina yoyote,kwani tayari nae ana wake.husimwendekeza!
Ni suala jepesi akikutishia na message zake za kipuuzi mjibu hivi, "Acha kunifuatilia, tulishaachana muda mrefu kwa amani sasa unataka nini tena? Mimi bado ni msichana hivyo naomba usiingilie uhuru wangu wa kuchagua mwenzi wangu, vinginevyo nitakufungulia kesi ya kuingilia uhuru wangu na kunitishia maisha na ushahidi ni hizi message unazonitumia" Ukimaliza mwambie ukizidi nitakwenda kwa mkeo kumjulisha kuhusu hili uone kama atachekelea.
Asante Tessa wala hana anachodai usumbufu tu na ndio maana mwanzon hakunisumbua mpaka akaoa kaibuka tu from no where na huu upuuzi wake.
Hata sijui, kama hampendi tena watajijua wenyewe,wala hayanihusu,yeye aniache huru na maisha yangu.au hampendi mkewe kama anavokupenda wewe kagundua sa ivi nini?
Mbinu hii si nzuri sana! Ina madhara zaidi ya mjuavyo! Huyo bwana mfumo anaotumia ni wazamani sana unaitwa blackmail ulioasisiwa na mkuu mmoja wa CIA
Kwa nature ya tatizo hili haihistahili kumfikia mke wa mtuhumiwa, kuna sababu zaidi ya kumi za kutolifikisha ila sababu ya kwanza ni KUAMINIA kwa wanandoa hao!
Kimsingi ataongeza maadui badala ya kupunguza!
Njia nzuri ya kummaliza adui huyu ni:
1.Kwanza tambua hulka za huyo kiumbe
2.Mtafute mwanaume jasiri anayeweza kumfata na kumweleza kwa karipio kuu sio lazima awe mpenzi!
3.Fuatilia nyendo zake zote
4.Jua kipato chake na zuia kipato chake
6.Waambie rafiki zake wakaribu zaidi ya wawili
Ikishindikana sasa nenda karipoti polisi!
Chunga usimwambie mkewe!!!
Simple tu mpe kubwa akizingua tafuta mtu ujifanye unadate baye akimfuata anampa za kikauzu sidhani kama atakucezea tena.Huyu jamaa alikuwa mpnz wangu kwa miaka 2, mwaka jana mwezi wa pili akawa amebadilika analewa sn tukawa tunagombana hatimae tukaachana mwezi wa 4 kila mtu akawa na maisha yake, yeye akapata mchumba akaoa, na mie nikawa nadate na mtu kumbe ananifatilia akafuta yule mtu wangu sikujua alimwambia nn,ila mtu wangu akaomba tuachane kwa amani na nisimtafute tena,kwa vile tulikuahatujanza kupeana nikamwacha aende zake na sikujua sababu, ni wiki mbili sasa yule x wangu alieoa ananifuatilia akiniona na mtu ananitumia msg kali na kuniambia atamfanyizia huyo mtu anaetaka kumuibia penzi lake km alivyomfanyia yule niliadate nae baada ya kuachana ndio nikajua yeye alikuwa sababu,sasa jana usiku kampigia dada yangu anamwambia anikanye nisiwe na mpnz yoyote kwan yeye ndie mpanz wangu wa maisha na mimi akanitumia msg hivyohivyo ya kunionya,naomben msaidie nimfanye nn huyu mtu aniache na maisha yangu, nawasilisha.
Mmeachana mwaka na miezi 5 tayari msela keshavuta kitu na kuweka ndani mazima? Halafu bado anakuzingua kihivyo? Huyo mbona ni mbabaikaji waziwazi. Endelea na maisha yako, akikuletea kitisho ripoti polisi, huruma haitakusaidia chochote maana msela mwenyewe hana huruma kwako wala nini. Hakuna haja ya kuhusisha mkewe maana hahusiki na ufirauni wake.1.Tangu tumeachana ni mwaka mmoja na miezi 5, na ameanza visa mwezi wa nanne mwaka huu.
2.Tangu ameanza visa sijamshirikisha mtu wake yoyote, ila yeye jana ndio kampigia dada yangu anionye nisiwe na mpnz tena.
3.Siku za mwanzoni tulipoachana watu wake wengi hawakupenda tuachane na walinisihi tufikirie upya tuyamalize ila ndio ilishindikana.
4.Kwakweli maisha yake ya kimahusiano siyajui, zaidi ya kujua ameoa na anaishi na mkewe basi.