Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
Your very wrong coz tangu nimeachana nae wala sijaonana nae tena na hata anavyonifatilia sijawahi kumuona zaidi ya anavyotuma msg basi,na wala simu-entertain kwa lolote kwan wala sijajibizana nae hata cku moja.
...okey, nilikuomba samahani kabla, unakumbuka?
well,...huna la kumfanya...WEWE ENDELEA NA MAISHA YAKO.. huyo b'friend mliyeachana nae sasa ni woga wake tu,
kama angekuwa anakupenda ki ukweli, angekulinda na mngeendelea na mapenzi yenu. both of them don't worth your precious love.