patience96
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 1,353
- 574
kwamba : 'unaogopa kukataa kwa vile umelipwa advance (1/2 malipo) hadi umalize contract'. Mkuu kumbe jibu unalo mwenyewe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiogope kumwambia ukweli wako kuwa pale umefata kazi mliyokubaliana na si vingine. Habari ya yeye kuona mashetani haikuhusu, akaripoti kwa meneja wa hoteli. Jilinde uko kwenye mtego utakaokusababishia kukosa malipo yako au hata kufanya usiyoyapanga na kujuta badaye.
hajiamini ndo maana na pia inaonyesha ametamani[/QUOTE
Itakula kwake mazima.
Huyo mwanamke ana lake tu,kwa vile ushaelewa komaa kaza uzi hakikisha unalala na jins lako,piga kazi akiona hudanganyiki atakua mpole mwenyewe!Duh!huyo mmama noma lol!
Alishawahi kunituma peke yangu na nikarudi salama na alifurahi. Sikuwa na sababu ya kutomuamini