Nisaidieni jamani mwanamke katishia kuniua

Nisaidieni jamani mwanamke katishia kuniua

hahahah lol

mie lawyer wa hapa JF dear..
kwa hiyo lazima tuingie chumbani kwanza
kabla hayajaletwa mbele ya court....

ahahahah lol

Wewe unasema lawyer wake,yeye anasema guardian angel wake??nichukue lipi??

Naenda kaanga samaki,naomba awe nyumbani in 30 mins time
 
Wewe unasema lawyer wake,yeye anasema guardian angel wake??nichukue lipi??

Naenda kaanga samaki,naomba awe nyumbani in 30 mins time

mmhh chukua zote tu dear..

kwanza hawa wanume zetu ukiwashika chini sana ndo wankuruka ..
ndo maana namwachie TF nafasi ya kujirusha kidogo dear hahah
 
Nawe unataka nini hapa dear hahah lol

Yaani mi sitokuficha,ni bora ukawa mke wa pili au wa tatu wa Hashy kuliko TF.......

Limenikaba sana,nimeona nilitoe yani siyo kabisaa riziki huyo............
 
Yaani mi sitokuficha,ni bora ukawa mke wa pili au wa tatu wa Hashy kuliko TF.......

Limenikaba sana,nimeona nilitoe yani siyo kabisaa riziki huyo............

Ha ha ha ha Michelle bana mbavu zangu lol!!!!
 
vipi mzani umebadilika? 75 5

Ha ha ila mzani wako ni mkubwa hauzidi wa kwangu kaka kama vile Lionel Messi, kuna hakimu ana faili la kesi yangu ndiyo nataka nimconsult kama naweza kum-bribe kidogo apindishe sheria
 
Yaani mi sitokuficha,ni bora ukawa mke wa pili au wa tatu wa Hashy kuliko TF.......

Limenikaba sana,nimeona nilitoe yani siyo kabisaa riziki huyo............

hahahahah lol
unavituko sana dear...

mmhh mie huyu TF wangu nimeshamzoea..
kama watu wansema kugombana ndani ya nyumba kuana kuza uhusiano
basi sisi number moja..

mmhh hata kabla metch ya soccer lazima tugombane hahah lol
kuna raha yake lakini..

asante kwa ushauri lakini mie nta banana na TF mpaka siku yanishinde kabisa hahah lol
 
Ha ha ila mzani wako ni mkubwa hauzidi wa kwangu kaka kama vile Lionel Messi, kuna hakimu ana faili la kesi yangu ndiyo nataka nimconsult kama naweza kum-bribe kidogo apindishe sheria

we jaribu hahah lol

kama ndo yule hakimu mwenye paper zetu
borea usahau hahaha lol
 
Nimeambiwa nije nichukue kadi yangu ya mwaliko kwako

Ntaiacha dukani kwa Mangi hapo nje,kuna watu nawawinda wanafikiri wao wajanja wa mjini wasijue nimezaliwa OCEAN ROAD...........😛layball::shut-mouth:
 
Back
Top Bottom