afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,150
- 9,255
Ntaiacha dukani kwa Mangi hapo nje,kuna watu nawawinda wanafikiri wao wajanja wa mjini wasijue nimezaliwa OCEAN ROAD...........😛layball::shut-mouth:
Eti bibie weye ni Mke wa pili au ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntaiacha dukani kwa Mangi hapo nje,kuna watu nawawinda wanafikiri wao wajanja wa mjini wasijue nimezaliwa OCEAN ROAD...........😛layball::shut-mouth:
Zile paper ni :A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1: tu
Ntaiacha dukani kwa Mangi hapo nje,kuna watu nawawinda wanafikiri wao wajanja wa mjini wasijue nimezaliwa OCEAN ROAD...........😛layball::shut-mouth:
eti bibie weye ni mke wa pili au ??
hahahahah lol
unavituko sana dear...
mmhh mie huyu TF wangu nimeshamzoea..
kama watu wansema kugombana ndani ya nyumba kuana kuza uhusiano
basi sisi number moja..
mmhh hata kabla metch ya soccer lazima tugombane hahah lol
kuna raha yake lakini..
asante kwa ushauri lakini mie nta banana na TF mpaka siku yanishinde kabisa hahah lol
na safari hii lazima pilau liliwe.....nyie na mawivu yenu mjinyonge....l.o.l
Mwambie aache basi kunifuata fuata na H....wangu
Nimechoka mwenzio,sijui nilimkosea nini mwenzangu
Anataka ondoa riziki yangu niliyoipata kwa nguvu
Akiendelea ipo siku atarudi kwako anatambaa na kawa bubu.........
first and planning to be the last....
Eti bibie weye ni Mke wa pili au ??
Mwambie aache basi kunifuata fuata na H....wangu
Nimechoka mwenzio,sijui nilimkosea nini mwenzangu
Anataka ondoa riziki yangu niliyoipata kwa nguvu
Akiendelea ipo siku atarudi kwako anatambaa na kawa bubu.........
ukisema mke una maanisha nini?? Wapo walionitangulia kama ni kwa kufuata taratibu za kikristo kuwa lile tendo ni la mke na mume........wako wengi sana......
Kwa taratibu za kisheria mimi ni namba one,tulikuwa wawili tunaoiwania,nikaibuka mshindi...
Ukisema mke una maanisha nini?? wapo walionitangulia kama ni kwa kufuata taratibu za kikristo kuwa lile tendo ni la mke na mume........wako wengi sana......
Kwa taratibu za kisheria mimi ni namba one,tulikuwa wawili tunaoiwania,nikaibuka mshindi...
am in heaven right now!
Nimekumbuka ile thread yaani "watu wanaogopa mimba kuliko ngoma"..lol
Back to the topic na wewe mtishie ivyo ivyo....!
down underWhich heaven????
am in heaven right now!
Which heaven????
sina watoto bado
akikuua ndo utapata akili kuwa uzinzi ni mbaya...pusi we! akuue tu ili ukienda kuzimu huko ukapate akili nzuri pamoja na shetwain...