hahahah lol
mie lawyer wa hapa JF dear..
kwa hiyo lazima tuingie chumbani kwanza
kabla hayajaletwa mbele ya court....
ahahahah lol
wewe unasema lawyer wake,yeye anasema guardian angel wake??nichukue lipi??
Naenda kaanga samaki,naomba awe nyumbani in 30 mins time
ahahahahah lol
Kumbe wamshikiaga fimbo kiasi hicho ae??
Ngoja na mie nianze..
TF jitayarishe dear..
Wewe unasema lawyer wake,yeye anasema guardian angel wake??nichukue lipi??
Naenda kaanga samaki,naomba awe nyumbani in 30 mins time
dah umenikumbusha muvi ya norbit.....l.o.l
:shock::shock::shock::shock::shock::shock:
Ha ha ha ha just passing by:car::car::car:
Dude you have 30 minutes by the way 25 minutes left now lol!!!
dude you have 30 minutes by the way 25 minutes left now lol!!!
Nawe unataka nini hapa dear hahah lol
Yaani mi sitokuficha,ni bora ukawa mke wa pili au wa tatu wa Hashy kuliko TF.......
Limenikaba sana,nimeona nilitoe yani siyo kabisaa riziki huyo............
Nawe unataka nini hapa dear hahah lol
ha ha ha ha michelle bana mbavu zangu lol!!!!
Boraaa,jipitie tu,yashakushinda saa nyingi!!
vipi mzani umebadilika? 75 5
Yaani mi sitokuficha,ni bora ukawa mke wa pili au wa tatu wa Hashy kuliko TF.......
Limenikaba sana,nimeona nilitoe yani siyo kabisaa riziki huyo............
nimeambiwa nije nichukue kadi yangu ya mwaliko kwako
Ha ha ila mzani wako ni mkubwa hauzidi wa kwangu kaka kama vile Lionel Messi, kuna hakimu ana faili la kesi yangu ndiyo nataka nimconsult kama naweza kum-bribe kidogo apindishe sheria
Nimeambiwa nije nichukue kadi yangu ya mwaliko kwako
we jaribu hahah lol
kama ndo yule hakimu mwenye paper zetu
borea usahau hahaha lol