mkuuwewe hujapata picha huyu mdada alivyonipiga mkwala alinitukana mwanzo mwisho nimeomba msamaha nahataki kunielewa sasa nimekaa tu hapa naomba asipate mimba na badae kama vipi nitaweka picha yake ili hata nikipotea mjue nani kampoteza mwana JF
sikuangushi kamanda wangu hizi condom demu mwenyewe ndiye alizinunua na zilikuwa ndogo kwangu so niliweza kuivaa nusu tu sasa kwenye mishemishe na speed ndio hapo condom ikatoka na wala sikuangushi mkuu
i swear sio fiction naweza kupost mlolongo wa meseji zote nilivyoanza kuchart naye hadi akanialikwa kwake na alivyonipa adress yake kila kitu kipo ..nnachongojea tu ni akiniambia kuwa anamimba basi nitaanza kuwaaga ila nitaendelea kujaribu kumbembeleza
Ok, iweke. Tukishajua tutaomboleza. Halafu nitaenda kuongea naye nione kama kweli anajua kuua.... RIP
Basi lililobaki na kumuomba Mungu tu ili kusiwe na ujauzito maana mara nyingi huzisikiliza sala zetu, vinginevyo ujiandale kulea na kuwa Baba kwa kila hali.
hahahahhahah lol
call me crazy
is like im watching this whole thing in the DVD
hahhahhh lol
naona leo umeamu kuchangamsha ukumbi dear ....lol
mkuu TANMO nadhani wewe hujui unachokiongea ungekuwa member wa kule mambo ya kikubwa na ukaona sample ya wale watotoo ninaowaweka kule sasa ndio kama huyu hapa ninayemuongelea ...ninauhakika hata akikuambia kuwa anaishi iraq-baghdad mwanamme yoyote jasiri hattosita kwenda
Hatakuambia akishajigundua kuwa anayo ila atatuma tu watu, kitakachokuambia kuwa anayo ni pale roho yako itakapouacha mwili. cha muhimu weka picha zake pamoja na jina kabisa ili ukifa tujue muuaji wa mpendwa wetu sana Ivuga.......
hapa unarushwa kama ukienda kwam mke wa mtu ila mimi huyu mtoto namjua na anakaa mwenyewe tena floor ya tatu tu ingekuwa ya 20 unafikiri ningepeleka pua yangu basiTatizo hutaki kuelewa pamoja na vituko vyote vya hawa watoto, kuna mambo ya kurushwa kutoka ghorofa ya ishirini hadi chini kama ukifumaniwa na mwenye mali. Maadamu unakuwa mbishi mi nitasubiri kukabidhiwa mwili kuurudisha nyumbani, nguvu ninazo, sababu ninazo, uwezo ninao na machozi pia nitakuwa nayo.........
Shaurilo!!!
Mwambie akipata MIMBA! UTAFUNGA NAE PINGU ZA MAISHA! Acha uoga!
aa nimekupata VOr YAANI SITUATION IKO HIVI mimi nilikutana naye usiku wa tr 21 na tr 22 asubuhi ndio akanitumia meseji na kunipigia simu na kunitaarifu kuhusu hii kitu na kama mimba ni yangu lazima mtoto atajionyesha kwa sababu ni damu 2 na binadamu wawili tofauti kabisa ..kiobama kitonekana kama ni mimi na wala hilo hata halina wasiwasi tatizo limakuja kwenye huu msimamo wa huyu binti kama akipata mimbaOkay kama sio fiction on your part basi ni fiction kwa upande wake yaani ilichukua siku ngapi hadi ajue kuna kitu ndani yake?; pili kama kuna kitu ndani how can she not feel any misscomfort.... I repeat kama ni kweli....., utakuwa umelengeshewa wait for the good news that you are the father "although kama ni kweli you are the father its questionable"..... Anaweza tayari alikuwa na mashaka ya mimba before meeting you.... I can smell a rat....
hapa unarushwa kama ukienda kwam mke wa mtu ila mimi huyu mtoto namjua na anakaa mwenyewe
Unaweza kubambwa na mume au wazazi, as long as ni ngozi nyeusi basi unalo....
Kwa nini usimualike kwako?
Besides, kwa mujibu wa maelezo yako kulingana na vitisho ulivyopewa umebakiza siku chache sana za kuishi. Irushe basi picha na jina la mhusika kabla hujapotea, isije ikawa tayari jamaa wako mlangoni kwako wanajiandaa kuvunja.
wewe jamaa mbona unan'gn'gania sana picha yake ...nitaiweka ila sio sasa ivi kwanza nishasema kuwa demu yuko vacation na anarudi baada ya week tatu au mbili so mpaka sasa hivi siogopi kitu bado
Ingekuwa ni yeye atakayefanikisha huo mpango ningekuelewa kuwa una wiki mbili za kutokuogopa, ila kwa kuwa amepanga kutuma watu, ni suala tu la kupiga simu na kutoa oda! jitahidi kabla hujachelewa zaidi. Better late than never,,,,,
hahahaa mkuu sikonge habari yako mzeeMtoto wa Ivunga na Irina Kalashnikova hapo baada ya miaka 2 akiwa na bibi yake Tatiana Gagarina.