Nisaidieni jamani mwanamke katishia kuniua


Sifurahii mkuu, ila nasikitika sana kuona kuwa unakuwa mbishi ilhali ukweli unaujua.....
Tazama utabiri wa Sikonge hapo juu...
 
Poa kabisa ndugu yangu. Mambo ni harashoo kabisa kabisa.

Pole na yaliyokukuta. Msiwe mnacheza na Mabinti wa Kichina maana wakija na Ndomu zao, haziwafiti. Watu wameficha vimiguu vya watoto kati ya mihuu, inakuwa kasheshe. Si panawakati Tanzania ilizirudisha Ndomu kutoka Korea maana TBS walisema kuwa haziko kwenye Standard ya Watanzania. Khaa??!!, mwee..... sisi wenye Vibamia kumbe si Watanzania ennhh!!!
hahahaa mkuu sikonge habari yako mzee
 
Halafu kuna mada aliianzisha PJ kuhusu member wa JF akiaga dunia, kama je tuliweke wazi jina lake au tusiweke.. Kwa kuwa mkuu umebahatika kujua kuwa utafariki muda si mrefu unaonaje ukatoa ruhusa kabisa ili wana-JF wanaokujua waweze kutoa jina na picha yako ikiwezekana?

Ni ushauri tu huo kaka!
 

kuhesabu kifo au?
 
mkuuwewe hujapata picha huyu mdada alivyonipiga mkwala alinitukana mwanzo mwisho nimeomba msamaha nahataki kunielewa sasa nimekaa tu hapa naomba asipate mimba na badae kama vipi nitaweka picha yake ili hata nikipotea mjue nani kampoteza mwana JF


mh weka picha hapa??????????????????usidhubutu
 
Uwiiii uwiiii, mbavu zangu mie. Akiwa wa kiume je?

Kwa heshima ya George Bush, kaitwe Georgiy Ivunganyikov. Katakuwa kachimba madini .......
Huyo mtoto tutamwita Ksenya Ivuganyikova,,, hehehehehe!
 
poa hiyo inaruhusiwa ila ila uweke mpicha wa ukweli hapa lakini hapo nni kama accedentally nikitangulia kwenda kwa sir GOD buta kwa sasa kama unamjua mtu huwezi kuweka details zake hapa ila kama kweli huyu mtoto mimba ikimkamata itapidi nitafute mtu nimpe details zangu kabisa ili wana jf wahabarishwe
 

kaka we kiboko!
 
kaka we kiboko!
kaka mzaha mzaha hutumbua usaha !!! binti alikuwa serious kaka ndio maaana naogopa sana alivyopiga simu alikuwa hana mzaha tena alishanibadilikia kama vile watu tusiojuana
 
kaka mzaha mzaha hutumbua usaha !!! binti alikuwa serious kaka ndio maaana naogopa sana alivyopiga simu alikuwa hana mzaha tena alishanibadilikia kama vile watu tusiojuana

 

mkuu sikonge mtoto alikuwa na nywele nyeusi ivi ivi sema yeye vimaziwa vyake vilikuwa vimesimama kidogo na lips ndogo yaani kisura cha babegirl 🙂 jamani mimi hata niikifa msijemkasikitika sana bora nitubu tu ili niende kwa sir GOD thats all
 

Noted,,
Kalale pema peponi kamanda,,
Ivuga tulikupenda ila Mungu amekupenda zaidi...
Tangulia, wewe mbele, sisi tuko nyuma yako,,,:disapointed::disapointed:
 
Noted,,
Kalale pema peponi kamanda,,
Ivuga tulikupenda ila Mungu amekupenda zaidi...
Tangulia, wewe mbele, sisi tuko nyuma yako,,,:disapointed::disapointed:

:car: ahahaha oya man sio fresh kuwanga bado mapema mno nishasema mtoto yuko vacation anarudi after 2 or 3 weeks sasa akirudi ndio hapo nitajua kuwa kimewaka au nitaendelea kudunda bado
 
mkuu sikonge mtoto alikuwa na nywele nyeusi ivi ivi sema yeye vimaziwa vyake vilikuwa vimesimama kidogo na lips ndogo yaani kisura cha babegirl 🙂 jamani mimi hata niikifa msijemkasikitika sana bora nitubu tu ili niende kwa sir GOD thats all

Inaonekana ulifaidi kweli,
ila ngoja, siamini. Hebu weka picha yake na sisi tumuone.. Isije ikawa..............hata Lucy Kibaki akawa na nafuu
 
:car: ahahaha oya man sio fresh kuwanga bado mapema mno nishasema mtoto yuko vacation anarudi after 2 or 3 weeks sasa akirudi ndio hapo nitajua kuwa kimewaka au nitaendelea kudunda bado

Hivi ni akili yangu haiko sawa au?
Ulisema kwamba akigundua kuwa ana mimba yako anatuma watu siyo?
Au labda huko alipoenda hawana kabisa vifaa vya kupima mimba?
Hata kama hawana na ilhali ana wasiwasi kuwa umemnywesha si ataondoka na vifaa vyake toka kwao?

Halafu mkuu kuna ishu ya urithi, unaizungumziaje? Mi nitakusaidia kum-take care Semegi!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…