Nisaidieni Jamani

Nisaidieni Jamani

mimi naona wigi ndo tatizo kubwa hapa,mpeni maushauri ,plastic surgery haitosaidia kweli? mbona michael jackson alifanywa mzungu bwana?
Lol...Smile plastic surgery, madaktari wakigoma tena itakuwaje...
 
Smile wewe....kama ulikuwa hunijui....huyu ndio mimi sasa.....niambie naanzia wapi hapa.....?
spongebob_fat.jpg



una hatari shosti anza kwa kufunga
 
Wanaume nyie kwa kupenda kwa fashion hamjambo!
Sasa Kipipi kuliko kukukimbia si bora nikulipie hela uanze kwenda Gym...btw fashion sio mbaya ila ikizidi kipimo na yenyewe huwa sio nzuri
 
ahahaaaa dah dah
wanaume mna mambo?
huyo dada mshauri afanye mazoezi tumbo litaondoka tu
kuhusu wigi? hivi mdada miaka 28 unavaa wigi la nini ? ukifika 60 utavaa nini?
kuhusu mvuto mimi siwezi kuongea kwa kweli
personaly mimi niko natural sana uliza hata wanaonijua humu huwa sifake ,nasukatu rasta za kawaida au nachana nywele zangu ,weavings au wigs mi situmii.
nadhani ni somo zuri pia kwa wadada waache kujiremba too much.ni vema mwanaume from the first sight akuonejinsi ulivo na avutiwe na wewe ivoivo jinsi ulivo hata kama una chongo amakengeza

sio unajua una chongo unavaa miwani daily siku ukijakuvua ndo hayo hayo yaliyomtokea mdau.
Unakuta msichana kapata kibuzi chake kimemiuta mahali dahatalala saluni siku mbili,scrub hadi kwenye vodacom sijui ni ya nini?
Mimi nipo jinsi nilivo hapo kwenye avatar ,mwenyekunipenda anipende hivohivo

Smile dear, kwa hiyo wewe unakuwa natural ili mwanaume akupende kama ulivyo....na sio kwamba wewe kama wewe ndo wapenda kuwa hivyo?? So, all those juhudi za kujikeep uvutie ni kwa ajili ya mwanaume akuone??
 
Hayo ndio madhara ya wasichana wanene kwa nje wakiwa kwenye mavazi yao huwa wanavutia ila akivua ma urembo ndo utajua kuwa ni mtu au kiboko.
 
Smile dear, kwa hiyo wewe unakuwa natural ili mwanaume akupende kama ulivyo....na sio kwamba wewe kama wewe ndo wapenda kuwa hivyo?? So, all those juhudi za kujikeep uvutie ni kwa ajili ya mwanaume akuone??
nipo jinsi nilivo kwa sababu napenda kuwa hivo kipipi.na kama mwanaume ananipenda anipende hivohivo
 
Hayo ndio madhara ya wasichana wanene kwa nje wakiwa kwenye mavazi yao huwa wanavutia ila akivua ma urembo ndo utajua kuwa ni mtu au kiboko.


Hahahahhahahahaha..........lol. Huo ni unyanyaa kaka yangu...........i nid a loya pls.
 
Imetokezea kupendana na msichana mmoja Umri wake unakaribia miaka 28 ,ni aina ya msichana unapokuwa nae utapenda umpeleke kukutana na wazazi au marafiki zako, lakini kuna vitu viwili vinanitatiza na kunipa tabu,kwanza nimekuja kumbabaini anavaa wigi anapoliondowa anaonekana sio yule msichana mwenye mvutio , pili hili ndilo tatizo linanikosesha usingizi, ni tumbo lake kubwa sana na hajawahi kupata mtoto anapotowa nguo tumbo linaondowa hamu yote nafanya nae mapenzi ile basi tu nifanye tu lina mapeto,nimefika mahali siwezi tena kuendelea nae halafu sitaki kumuonesha kuwa ni tumbo lake ndilo lililonifanya niachane nae nashindwa sijuwi nini nifanye sitaki kumtumilia na kumkimbia, ninachokuombeni hapa nisaidieni nifanye njia gani za kistarabu niachane nae bila ya kumumiza moyoni .
Nina wasi wasi na kauli zako!!
Kwa tumbo unalolisemea kiuhalisia halifichiki,means tangu siku ya kwanza unamuona na kuamua kumtokea uliliona,
Labda unishawishi kuwa ulijidai hulioni ili ummege na kumaliza kiu yako hapo sawa,
Na nina iman utakua ushamega zaidi ya mara moja ila cha kushangaza ulikua hujali unaendelea kula mzigo sasa ndio unaona tumbo!!

Ninachodhan hapa inawezekana umeyaona hayo baada ya kumaliza hamu zako,au umepata mpnz mpya na huyo humtaki tena ndio maana unaona kasoro zake,au marafiki zako wamemtoka kasoro hiyo na kukushangaa ww kuwa naye,
Unachofanya sasa ni kutafuta jastifikashen ili umwache,
Ingekua ww unagundua mtu aliyejidai anakupenda siku zote na kukutumia na sasa anajidai kutafuta namna ya kukuacha ungejisikiaje?

Cha kufanya kwa vile umeshaamua kumuumiza mwambie ukweli kwan hakuna namna ya kutomumiza ile hali humtaki tena!

Na siku ingine kabla hujamfanya mtu akupende hakikisha umeshajitambua unajua unachokitaka na una uhakika kwa kipo ndio umtokee!

Na ukumbuke kwenye mahusiano au maisha ya ya ndoa out look ya mtu hua haina umuhim mkubwa inner look km tabia na vitu vingine ambavyo havibadilishiki kwa mtu,

Lkn vitu km matumbo sjui mawigi au mwonekano km unampenda kwa pamoja mnaweza virekebishika na akawa vile utakavo.
 
u never love her from the beginning sema ulikuwa unamtamani tu kwa nje ili ukate kiu yako..ushamvua nguo ukauona mwili wake ukauchezea mpaka ukachoka sasa ndio unaona hafai..mapenzi ya dhati hayana macho ndio maana unakutana na watu wana sura na shape mbayaa na bado wenza wao wanaowajali na kuwapenda kwa dhati..
 
Nina wasi wasi na kauli zako!!
Kwa tumbo unalolisemea kiuhalisia halifichiki,means tangu siku ya kwanza unamuona na kuamua kumtokea uliliona,
Labda unishawishi kuwa ulijidai hulioni ili ummege na kumaliza kiu yako hapo sawa,
Na nina iman utakua ushamega zaidi ya mara moja ila cha kushangaza ulikua hujali unaendelea kula mzigo sasa ndio unaona tumbo!!

Ninachodhan hapa inawezekana umeyaona hayo baada ya kumaliza hamu zako,au umepata mpnz mpya na huyo humtaki tena ndio maana unaona kasoro zake,au marafiki zako wamemtoka kasoro hiyo na kukushangaa ww kuwa naye,
Unachofanya sasa ni kutafuta jastifikashen ili umwache,
Ingekua ww unagundua mtu aliyejidai anakupenda siku zote na kukutumia na sasa anajidai kutafuta namna ya kukuacha ungejisikiaje?

Cha kufanya kwa vile umeshaamua kumuumiza mwambie ukweli kwan hakuna namna ya kutomumiza ile hali humtaki tena!

Na siku ingine kabla hujamfanya mtu akupende hakikisha umeshajitambua unajua unachokitaka na una uhakika kwa kipo ndio umtokee!

Na ukumbuke kwenye mahusiano au maisha ya ya ndoa out look ya mtu hua haina umuhim mkubwa inner look km tabia na vitu vingine ambavyo havibadilishiki kwa mtu,

Lkn vitu km matumbo sjui mawigi au mwonekano km unampenda kwa pamoja mnaweza virekebishika na akawa vile utakavo.
acha kujitetea
punguza tumbo na wigi vua
 
acha kujitetea
punguza tumbo na wigi vua
Hahahha hahahaha hahahah,
Uwiiiiiiiiiiii,jaman mamito!
Nnini kuniumbua ivo?
Kwani hakuyaona yote hayo siku ya kwanza?
Wigi sitavua coz linanifanya nionekane km beyonce chezeiya mchina ww!!
 
umepata sababu tu ya kutaka kumuacha.na ukimpata mwenye figure no.8 baadae utakuja kumtoa kasoro tu.ooh kitandani zero,hana taste.bora huyo mwenye tumbo kama ana tabia nzuri mfahamishe afanye mazoezi,tena msaidie maana mazoezi nayo sio kazi ndogo.na kuhusu wigi,wadada wengi wa mjini ni wachache mno wanakubali kuwa na nywele zao natural.asie na wigi ana weaving,na asie na weaving ana lace wig
 
acha uoga kama anakupa maniaje kwa bed na unakua unaridhika min ni mwepesi doesnt mater coz inaonekana ulimpenda akiwa amevaa na kama akivaa tumbo halionekani akieka wigi unampenda basi alale na wigi dat iz ma advice try ur best hakuna ambacho hakina kasoro wengine hawana matumbo lakini KOROGWE ni kisima!
 
umepata sababu tu ya kutaka kumuacha.na ukimpata mwenye figure no.8 baadae utakuja kumtoa kasoro tu.ooh kitandani zero,hana taste.bora huyo mwenye tumbo kama ana tabia nzuri mfahamishe afanye mazoezi,tena msaidie maana mazoezi nayo sio kazi ndogo.na kuhusu wigi,wadada wengi wa mjini ni wachache mno wanakubali kuwa na nywele zao natural.asie na wigi ana weaving,na asie na weaving ana lace wig
mbona mimi sina hebu nicheki
 
Hahahaha!!! NN umenikumbusha kuna kitongoji kimoja states wanaishi wamexico kibao...halafu hizo tacos na chalupas hapo ndio kwao umewafikisha...

Wapi huko? El Paso?

Arif usifanye mchezo na chalupa bana. Zina calorie balaaa
 
Back
Top Bottom