Babchabi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 1,745
- 777
Wakati nipo na miaka 13 nilishawahi kupata Kisonono (Kichocho), wakati huo ilikua tunaogelea sana katika mito michafu. Ila sasa tuko watu wazima.
Jana niliamka na homa baada ya kujisikia temperature inapanda nikavuta Paracetamol ya 1000 mg nikapiga homa ikashuka ila baada ya masaa 4 huanza kurejea.
Hii paracetamol nilitumia mara 3 kwa siku, cha ajabu kuamkia leo ikawa naenda haja ndogo mara kwa mara na tena huwa mkojo unanibana sana kiasi kwamba hata kujizuia nashindwa. Wakati nakojoa huwa najisikia kichomi kwa mbali, sio sana, ila baya zaidi mwishoni mwa mkojo hua natokwa na damu kama vile kisonono.
Mimi niko na wife na nashukuru kwamba sina mpango wa kutembea na hawara nje na pia mwenzangu namuamini, ushauri wenu tafadhali.
Jana niliamka na homa baada ya kujisikia temperature inapanda nikavuta Paracetamol ya 1000 mg nikapiga homa ikashuka ila baada ya masaa 4 huanza kurejea.
Hii paracetamol nilitumia mara 3 kwa siku, cha ajabu kuamkia leo ikawa naenda haja ndogo mara kwa mara na tena huwa mkojo unanibana sana kiasi kwamba hata kujizuia nashindwa. Wakati nakojoa huwa najisikia kichomi kwa mbali, sio sana, ila baya zaidi mwishoni mwa mkojo hua natokwa na damu kama vile kisonono.
Mimi niko na wife na nashukuru kwamba sina mpango wa kutembea na hawara nje na pia mwenzangu namuamini, ushauri wenu tafadhali.