Nimetafakari na kuona mwelekeo ulivyo na pia vitendea kazi kufanana kama vile bendera zao je nikisema Yanga ni CCM na Simba ni Chadema nitakosea Naomba maoni.
Wote ni CCM. Na the fact kwamba mashabiki wa simba na yanga hawawezi hata kuzigomea hizo timu kwa kutumiwa na CCM ni kielelezo kuwa CCM itatawala milele nchi hii.
Nimetafakari na kuona mqelekeo ulivyo na pia vitendea kazi kufanana kama vile bendera zao je nikisema Yanga ni CCM na Simba ni Chadema nitakosea Naomba maoni.
Nimetafakari na kuona mwelekeo ulivyo na pia vitendea kazi kufanana kama vile bendera zao je nikisema Yanga ni CCM na Simba ni Chadema nitakosea Naomba maoni.
Wote ni CCM. Na the fact kwamba mashabiki wa simba na yanga hawawezi hata kuzigomea hizo timu kwa kutumiwa na CCM ni kielelezo kuwa CCM itatawala milele nchi hii.