Wakuu salama,
Natumai MUNGU amewaamsha salama na tuko katika mapambano ya maisha! Kwa wale wagonjwa MUNGU awape wepesi mpone haraka.
Wakuu nimekuja kwenu nina shida moja naamini vichwa humu mtanisaidia, mimi ni mtu ambaye sina marafiki wale wa kusema tunapigiana simu weekend hii wapi etc! Sina hata yule rafiki wa karibu wa kubadilishana mawazo etc.
Hata nikitoka weekend nitaenda bar/beach nakaa tu alone nakunywa beer, naangalia labda mpira narudi home kuungana na wife na familia.
Nahitaji kuanzisha marafiki, nisaidieni mbinu za kupata marafiki wapya etc.
Natumai MUNGU amewaamsha salama na tuko katika mapambano ya maisha! Kwa wale wagonjwa MUNGU awape wepesi mpone haraka.
Wakuu nimekuja kwenu nina shida moja naamini vichwa humu mtanisaidia, mimi ni mtu ambaye sina marafiki wale wa kusema tunapigiana simu weekend hii wapi etc! Sina hata yule rafiki wa karibu wa kubadilishana mawazo etc.
Hata nikitoka weekend nitaenda bar/beach nakaa tu alone nakunywa beer, naangalia labda mpira narudi home kuungana na wife na familia.
Nahitaji kuanzisha marafiki, nisaidieni mbinu za kupata marafiki wapya etc.