Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ina maana wote uliosoma nao wewe ni marafiki zako hadi leo? nafikiri mtu anapohitaji msaada kama unaweza kumsadia ni vyema ukafanya hivyo na kama huwezi ni vyema pia ukaa kimya, maana huwezi kujua mtu ni nini anapitia.Nashangaa wote aliokua nao wakiwa watoto,waliosoma nsye ,Kwenye ukoo,anakoabudu,kazini nk kote huko hajawahi Pata Rafiki
Atakuwa na shida kubwa
anhaaa kuna wengine kipindi cha elimu walikitumia kusoma sio kupiga zoga na makundi makundi watu kama hawa huwaga na bond ndogo na dent zao wengineNashangaa wote aliokua nao wakiwa watoto,waliosoma nsye ,Kwenye ukoo,anakoabudu,kazini nk kote huko hajawahi Pata Rafiki
Atakuwa na shida kubwa
Anaetaka rafiki yupo sawa kulingana na sababu zake.ebu naombeni umuhimu, faida za kua na rafiki,,,, naweza jiona mjanja kutokua na marafiki kumbe naangamia.....
asante sanaAnaetaka rafiki yupo sawa kulingana na sababu zake.
Usietaka marafiki upo sawa vile vile kulingana na sababu zako.
Hivyo upo sawa.....
Umri- 38
Elimu - Masters/ ACPA
Marital status - Married
Hobbies - Watching football (Arsenal and Yanga fan)/movies(actions)/kuhudhuria sehemu za music esp live band
Kumbe uliminya batani mwenyewe, watafute alafu matatizo ni yako, sherehe ni yetu mkuu usilisahau ilo maana huo sio mwisho wa kupata matatizo, bado matatizo yapo sana.walikuepo sasa nikapata changamoto ya kimaisha nikadelete wote, sasa nataka kupata wapya!nipe mbinu mkuu
Kwa lugha nyingine unamkumbusha kuwa "mwana kulitafuta mwanakulipata"sema unaitaji washkaji sio marafiki, marafiki wa kweli ni wale uliokua nao pamoja uko kijijini mkicheza goroli na kuchunga mbuzi pamoja and the like. reconnect with them.!!
hawa wakukutana nao town keep distance for your mental and emotional health, ila kwa vile wabongo ni wabishi endelea unachokitafuta utakipata.
dsmUko mkoa gani ?
asante sana!nitakuja ndugu one day
fafanua mkuu na yako hapa utapata msaada!kuna watu wa maana humu kukupa ushauriKumbe siko peke yangu kwenye changamoto hii....
sijaminya batani!nilidelete baada ya kuwa ktk matatizo na sikupata msaada wao!ila now natafuta tu wa kupiga story etcKumbe uliminya batani mwenyewe, watafute alafu matatizo ni yako, sherehe ni yetu mkuu usilisahau ilo maana huo sio mwisho wa kupata matatizo, bado matatizo yapo sana.