Yesu anasehemu yake kiroho but in tangeble world you need physical friendsUnataka marafiki au unataka mbinu za kupata marafiki???
After all urafiki ni zaidi ya uliyosema hapo
Tangu nijitambue nimeanza kuelewa ule msemo wa rafiki wa kweli ni Yesu.
Mke? Nae sio rafiki wa kuaminika ni swala la muda tu nalo 😂😂1: lengo la urafiki ni nini?
Kula bata, story tu, kupigana tafu kushibana katika shida na raha??
2: Baada ya hapo juu, aina zake sasa kama ni wa bata utawapata batani bar, huko beach etc kama ni wa kuchat tu hapa jf tupo.
3: Mkeo ndio rafiki ako
4: toa wasifu wako marafiki zako tuje na tukugande....
Naomba uwe rafiki yanguHujawahi kuwa na marafiki hadi uhitaji mbinu za kupata marafiki?
Mimi sio rafiki mzuri😂😂Naomba uwe rafiki yangu
Kataa ndoa 🤣🤣Mke? Nae sio rafiki wa kuaminika ni swala la muda tu nalo 😂😂
Mimi piaMimi sio rafiki mzuri😂😂
hahahah sawa mkuuTafuta tu pesa watakuja wengi mle bia kwa kutumia pesa zako
hahahah sh ngapi mkuu?wasiliana na kaka dalali hapa kwa huduma nzuri z akuunganishwa na marafiki kwa gharama ya juu BEI NI KUBWA MNO
walikuepo sasa nikapata changamoto ya kimaisha nikadelete wote, sasa nataka kupata wapya!nipe mbinu mkuuNaomba uwe rafiki yangu
ndo nahitaji hao wa kupiga story mbili tatu mkuuHili wazo liondoe kichwani...dunia ya sasa kupata rafiki wa kueleweka ni kujidanganya... Kama una mtoto/watoto wako hao ndiyo rafiki wako wa uhakika hapa duniani...
Wengine wafanye washkaji zako tu wa kupiga nao stories 2,3 ila usiwategemee kwenye kila jambo au eti watakuja kukusaidia au kua na wewe kwenye shida na raha ni uongo, ni Mungu pekee ndo rafiki wa kuaminika wakati wote kwenye nyakati ambazo hata hutegemei anakushika mkono na kukufariji..
Urafiki wa sasa hivi wapo ki maslahi zaidi, friendship with benefits..
kupiga story kdg, bata kdg, nk1: lengo la urafiki ni nini?
Kula bata, story tu, kupigana tafu kushibana katika shida na raha??
2: Baada ya hapo juu, aina zake sasa kama ni wa bata utawapata batani bar, huko beach etc kama ni wa kuchat tu hapa jf tupo.
3: Mkeo ndio rafiki ako
4: toa wasifu wako marafiki zako tuje na tukugande....