Nisaidieni Jinsi ya kupata marafiki

Mfanye mkeo awe rafiki yako
 
huyu tayari ni rfk
Basi ndo uwe una hang out nae ,kuhusu kusaidiana kwenye matatizo ni vizuri ukajiunga kwenye vikundi mbalimbali hapo mtaani kwenu au kanisani mana sehemu kama hzo huwa wanachangishana ela za kusaidiana na pia huwa wanashikana mikono kwenye shida
 
Basi ndo uwe una hang out nae ,kuhusu kusaidiana kwenye matatizo ni vizuri ukajiunga kwenye vikundi mbalimbali hapo mtaani kwenu au kanisani mana sehemu kama hzo huwa wanachangishana ela za kusaidiana na pia huwa wanashikana mikono kwenye shida
asante sana mkuu kwa ushauri
 
fafanua mkuu na yako hapa utapata msaada!kuna watu wa maana humu kukupa ushauri
Mkuu mimi nina shida hii ya kutokuwa/kutokupata marafiki kama wengne unakuta wadau wanapiga stor na kuchekelea mimi nashindwa na mbaya zaidi ni kwamba naona ni sawa kabisa muda mwing nakuwa home au ntaenda mahala najua hakuna watu ni chill binafsi naiona kuwa abnomality...
 
Hilo tatizo halijaanza ukubwani lazima ni tangu ukiwa mtoto kuna hatua ambayo mtoto anakuwa na uwezo wa kujichanya na wenzake na kutengeneza marafiki .Lakini marafiki hawatafutwi wanakuja wenyewe tu.
 
Hilo tatizo halijaanza ukubwani lazima ni tangu ukiwa mtoto kuna hatua ambayo mtoto anakuwa na uwezo wa kujichanya na wenzake na kutengeneza marafiki .Lakini marafiki hawatafutwi wanakuja wenyewe tu.
Fact mkuu, marafiki wanajileta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…