Baada ya kufuatilia kwa mda mrefu mjadala wa FOREX humu ndani na pamoja na kufanya utafiti sana na kujifunza,nimegundua yafuatayo
1-FOREX INALIPA
2-FOREX INAHITAJI SHULE HASWA
3-FOREX INAWEZA KUWA MKOMBOZI WA TATIZO LA AJIRA TANZANIA
4-FOREX SIO KAMARI
5-FOREX HAITAKI MTU MWENYE PUPA
6-FOREX SIO SEHEMU YA KUPATA PESA ZA HARAKA
7-FOREX KWA KIASI KIKUBWA LAZMA UWE NA ANGALAU ELIMU YA SEKONDARI
Sasa kwa wale wazoefu naombeni namna ya kuweka pesa TICKMILL or FXTM,Hiyo attachment ni account yangu ya bonus kwa Templer,nimeifikisha hapo ndani ya wiki moja tu
1-FOREX INALIPA
2-FOREX INAHITAJI SHULE HASWA
3-FOREX INAWEZA KUWA MKOMBOZI WA TATIZO LA AJIRA TANZANIA
4-FOREX SIO KAMARI
5-FOREX HAITAKI MTU MWENYE PUPA
6-FOREX SIO SEHEMU YA KUPATA PESA ZA HARAKA
7-FOREX KWA KIASI KIKUBWA LAZMA UWE NA ANGALAU ELIMU YA SEKONDARI
Sasa kwa wale wazoefu naombeni namna ya kuweka pesa TICKMILL or FXTM,Hiyo attachment ni account yangu ya bonus kwa Templer,nimeifikisha hapo ndani ya wiki moja tu