Nisaidieni kazi yoyote jamani, maisha magumu

Nisaidieni kazi yoyote jamani, maisha magumu

Fanya editing ya uzi wako mkuu ama lah fungua hata uzi mwingine uelezee elimu yako, kazi unazoweza kufanya, sehemu uliyopo, namba ya simu (kama inawezekana).

Ili wanaoweza kukusaidia iwe rahisi kukupata ama lah pa kuanzia kukusaidia.
Asante kwa maoni🙏
 
Hama nchi tu maana hata hao waliosoma kazi hakuna ndio kwaaanza mama yao anateua wazee wastaafu, kinmsingi vijana wa bongo mmepigwa na kitu kizito sana kic hwani tena chenye ncha kali sana. Pole sana
Ahame Vipi hata pesa ya kujikimu ni mtihani?! Kuhama nchi ni kujipanga kiongozi si kila aliye huko nje kaenda kirahisi unavodhani. Kama kuna namna tumsaidie ndugu mtanzania mwenzetu
 
Mm nipo dsm so kama upo Bukoba Nambie piA
Daaah yani jamii forum imeanza kunishinda Tania[emoji3]
Kila mtu mpaka wewe mwanafunzi unataka kumuajili mwenzako????

Tena unamuuliza maswali kwa lugha kaliii kama unauhakika wa ajira
 
Hama nchi tu maana hata hao waliosoma kazi hakuna ndio kwaaanza mama yao anateua wazee wastaafu, kinmsingi vijana wa bongo mmepigwa na kitu kizito sana kic hwani tena chenye ncha kali sana. Pole sana

Na walivyo washenzi hata ukijichangachanga utafute passport ukimbie ukatafute maisha napo wanakaza [emoji28][emoji28][emoji28] *****!

Tuzidi kunyea debe bongo [emoji23]

Nna mwanangu alienda kushughulikia passport picha linaanza wakamuuliza kwa ukali! “We ya nini?!” [emoji23]
 
Hama nchi tu maana hata hao waliosoma kazi hakuna ndio kwaaanza mama yao anateua wazee wastaafu, kinmsingi vijana wa bongo mmepigwa na kitu kizito sana kic hwani tena chenye ncha kali sana. Pole sana

Na walivyo washenzi hata ukijichangachanga utafute passport ukimbie ukatafute maisha napo wanakaza [emoji28][emoji28][emoji28] *****!

Tuzidi kunyea debe bongo [emoji23]

Nna mwanangu alienda kushughulikia passport picha linaanza wakamuuliza kwa ukali! “We ya nini?!” [emoji23]
 
Na walivyo washenzi hata ukijichangachanga utafute passport ukimbie ukatafute maisha napo wanakaza [emoji28][emoji28][emoji28] *****!

Tuzidi kunyea debe bongo [emoji23]

Nna mwanangu alienda kushughulikia passport picha linaanza wakamuuliza kwa ukali! “We ya nini?!” [emoji23]
Unawajibu tu kama haki yangu mtanzania
 
Nina shida sana hali ngumu, nahisi kukata tamaa. Yoyote anisaidie kazi yoyote. Maana sina hela na nyumbani na nahitaji kupata mahitaji yangu Kama sabuni, nguo nk.

Nimeona niweke wazi tu huenda kuna mtu humu atanisaidia.
Kuna Mzee humu mara kwa mara anatangaza kuwezesha watu wote wasio na kazi, pitia nyuzi zake uwasiliane nae...



 
Kua Mzee humu mara kwa mara anatangaza kuwezesha watu wote wasio na kazi, pitia nyuzi zake uwasiliane nae...



Thank you
 
Upo Shinyanga Town ? Kuna kazi ya data ya wiki tatu mpaka mwezi .Mwisho wa kuomba ni Keshokutwa .Una smartphone? Utalipwa kwa siku .Nicheki nijaribu kukupambania.Ila kazi ni ngumu.
 
Upo Shinyanga Town ? Kuna kazi ya data ya wiki tatu mpaka mwezi .Mwisho wa kuomba ni Keshokutwa .Una smartphone? Utalipwa kwa siku .Nicheki nijaribu kukupambania.Ila kazi ninn

Upo Shinyanga Town ? Kuna kazi ya data ya wiki tatu mpaka mwezi .Mwisho wa kuomba ni Keshokutwa .Una smartphone? Utalipwa kwa siku .Nicheki nijaribu kukupambania.Ila kazi ni ngumu.
Asante kiongozi, naweza fanya iyo kazi. Ila najaribu kuku pm. Ila inashindikana mkuu
 
Asante kiongozi, naweza fanya iyo kazi. Ila najaribu kuku pm. Ila inashindikana mkuu
Nicheki tena ,ka utaweza uapply usiku huu huu nicheki nikutumie hilo Tangazo jamaa kaniambia imebaki nafasi moja tu.
 
Back
Top Bottom