Asante kwa maoni🙏Fanya editing ya uzi wako mkuu ama lah fungua hata uzi mwingine uelezee elimu yako, kazi unazoweza kufanya, sehemu uliyopo, namba ya simu (kama inawezekana).
Ili wanaoweza kukusaidia iwe rahisi kukupata ama lah pa kuanzia kukusaidia.
Ahame Vipi hata pesa ya kujikimu ni mtihani?! Kuhama nchi ni kujipanga kiongozi si kila aliye huko nje kaenda kirahisi unavodhani. Kama kuna namna tumsaidie ndugu mtanzania mwenzetuHama nchi tu maana hata hao waliosoma kazi hakuna ndio kwaaanza mama yao anateua wazee wastaafu, kinmsingi vijana wa bongo mmepigwa na kitu kizito sana kic hwani tena chenye ncha kali sana. Pole sana
Oyaa ukipata data au information zinazohusiana na fursa za kibiashara na kiuchumi Bk uniambie sababu mwenyewe nataka nizamie hukoMm nipo dsm so kama upo Bukoba Nambie piA
Mkuu fika Karagwe Bukoba pale Graduate wa IFM wanakula Maisha hukoOyaa ukipata data au information zinazohusiana na fursa za kibiashara na kiuchumi Bk uniambie sababu mwenyewe nataka nizamie huko
Sawa sawaMkuu fika Karagwe Bukoba pale Graduate wa IFM wanakula Maisha huko
Kuna inshu gani karagwe mkuuMkuu fika Karagwe Bukoba pale Graduate wa IFM wanakula Maisha huko
Daaah yani jamii forum imeanza kunishinda Tania[emoji3]Mm nipo dsm so kama upo Bukoba Nambie piA
Hama nchi tu maana hata hao waliosoma kazi hakuna ndio kwaaanza mama yao anateua wazee wastaafu, kinmsingi vijana wa bongo mmepigwa na kitu kizito sana kic hwani tena chenye ncha kali sana. Pole sana
Hama nchi tu maana hata hao waliosoma kazi hakuna ndio kwaaanza mama yao anateua wazee wastaafu, kinmsingi vijana wa bongo mmepigwa na kitu kizito sana kic hwani tena chenye ncha kali sana. Pole sana
Unawajibu tu kama haki yangu mtanzaniaNa walivyo washenzi hata ukijichangachanga utafute passport ukimbie ukatafute maisha napo wanakaza [emoji28][emoji28][emoji28] *****!
Tuzidi kunyea debe bongo [emoji23]
Nna mwanangu alienda kushughulikia passport picha linaanza wakamuuliza kwa ukali! “We ya nini?!” [emoji23]
Unawajibu tu kama haki yangu mtanzania
Wala sijui lakini kwa ofisi za mkoa wakoBila rushwa utazungushwa sana
Kuna Mzee humu mara kwa mara anatangaza kuwezesha watu wote wasio na kazi, pitia nyuzi zake uwasiliane nae...Nina shida sana hali ngumu, nahisi kukata tamaa. Yoyote anisaidie kazi yoyote. Maana sina hela na nyumbani na nahitaji kupata mahitaji yangu Kama sabuni, nguo nk.
Nimeona niweke wazi tu huenda kuna mtu humu atanisaidia.
Thank youKua Mzee humu mara kwa mara anatangaza kuwezesha watu wote wasio na kazi, pitia nyuzi zake uwasiliane nae...
Fursa ya kujifunza ujenzi katika kiwanda kidogo
Sisi tunaitwa Madrassatul Abraar, tupo mtaa wa vitendo, kata ya Misugusugu, mkoa wa Pwani, namba zetu za simu 0625249605. Kituo kinaitwa "Miyomboni Shule" au Misugusugu Shule ya Msingi. Fursa za kazi zilizopo sasa ni "production Manager" kwenye kiwanda kidogo cha vifaa vya ujenzi vinavyoundwa...www.jamiiforums.com
Nafasi ya kazi ya Usimamizi "Manager" wa kiwanda kidogo
Abraar Bricks Nyumba kwa wote. Katika kiwanda chetu cha uzalishaji vifaa vya ujenzi wa kisasa kwa kutumia saruji (precast) tunatafuta msimamizi "manager" wa kiwanda. Kiwanda kina uwezo wa kuwa na wafanyakazi wa uzalishaji 21 na wasio wazalishaji 3 kwa shift moja. Tunataraji kifikie uwezo wa...www.jamiiforums.com
Unajenga? Tuna aina mpya ya vifaa vya ujenzi vinavyokupunguzia gharama za ujenzi na kukuokolea muda
Kama unajenga au una plan kujenga au u fundi ujenzi au unataka kuongeza nafasi kwenye nyumba ya bati uliyonnayo sasa, wasiliana na na sisi kwa ushauri wa bure na kujionea aina mpya kabisa ya ujenzi unaokupunguzia sana gharama za ujenzi. Mafundi wote ujenzi tunawapatia masomo ya bure kabisa kwa...www.jamiiforums.com
Upo Shinyanga Town ? Kuna kazi ya data ya wiki tatu mpaka mwezi .Mwisho wa kuomba ni Keshokutwa .Una smartphone? Utalipwa kwa siku .Nicheki nijaribu kukupambania.Ila kazi ninn
Asante kiongozi, naweza fanya iyo kazi. Ila najaribu kuku pm. Ila inashindikana mkuuUpo Shinyanga Town ? Kuna kazi ya data ya wiki tatu mpaka mwezi .Mwisho wa kuomba ni Keshokutwa .Una smartphone? Utalipwa kwa siku .Nicheki nijaribu kukupambania.Ila kazi ni ngumu.
Nicheki tena ,ka utaweza uapply usiku huu huu nicheki nikutumie hilo Tangazo jamaa kaniambia imebaki nafasi moja tu.Asante kiongozi, naweza fanya iyo kazi. Ila najaribu kuku pm. Ila inashindikana mkuu