Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Hapo katikati pana uwazi wenye upana wa 3m hadi 3m
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini lakini mnaAbuse taaluma za watu kiasi hiki? Dah! Tatizo ni Njaa? Ubinafsi au Nini? Kwahiyo hapo umeleta ili upate Msaada wa Bure, upate Mtelezo wenyewe mnaita [emoji1787][emoji1787]
Iyo miduara umenikumbusha lecture mmoja pale ardhi university [emoji23][emoji23]Kwanini lakini mnaAbuse taaluma za watu kiasi hiki? Dah! Tatizo ni Njaa? Ubinafsi au Nini? Kwahiyo hapo umeleta ili upate Msaada wa Bure, upate Mtelezo wenyewe mnaita [emoji1787][emoji1787]
Haya bana kila la kheri!View attachment 2488280
Wakati wenzako wanasoma spacing kwenye usanifu majengo we uliamua kusoma nini haya sasa wacha wakusaidie bure
Wakati wenzako wanasoma spacing kwenye usanifu majengo we uliamua kusoma nini haya sasa wacha wakusaidie bure
Wakati wenzako wanasoma spacing kwenye usanifu majengo we uliamua kusoma nini haya sasa wacha wakusaidie bure
Wakati wenzako wanasoma spacing kwenye usanifu majengo we uliamua kusoma nini haya sasa wacha wakusaidie bure
Wakati wenzako wanasoma spacing kwenye usanifu majengo we uliamua kusoma nini haya sasa wacha wakusaidie bure
Kuna mtu ananichorea ndio naikaguaWakati wenzako wanasoma spacing kwenye usanifu majengo we uliamua kusoma nini haya sasa wacha wakusaidie bure
Wakati wenzako wanasoma spacing kwenye usanifu majengo we uliamua kusoma nini haya sasa wacha wakusaidie bure
Hii floor plan nmechorewa, hapo kuna nyumba tatu zinazojitegemea. Kuna hii ya chini (ina sitting na vyumba viwili), kuna ya juu ipo nje ina vyumba viwili vya kulala. Kuna ya kushoto ni hapo panakua jiko na dinning. Kuhusu milango kuwa mingi nilimwomba mchoraji aniwekee hivyo kuna nyumba moja niliwahi kuingia ina mtindo huo lengo langu nilitaka kutenganisha choo na chumba cha kulala, lakini pia kupata uwazi wa kuacha viatu. Embu nipeni ushauri.Kwanini lakini mnaAbuse taaluma za watu kiasi hiki? Dah! Tatizo ni Njaa? Ubinafsi au Nini? Kwahiyo hapo umeleta ili upate Msaada wa Bure, upate Mtelezo wenyewe mnaita [emoji1787][emoji1787]
Haya bana kila la kheri!View attachment 2488280
Mimi ndio nimemwambia iwe design hivyo boss, hata hiyo milango kwenye vyumba nahitaji kutenganisha chumba na bathroom, na nikiingia chumbani nisiingie na viatu. Vibaki nje.Kama anakuchorea tu freely sawa lakini kama unamlipa nakushauri uachane nae. Ramani ina makosa mengi,kuna hiko choo cha kati kati hakitokuwa na chemba yake, lakini pia madirisha kuwekwa kwenye corrido ambapo watu wanapita sio sawa, kuna milango ambayo haina ulazima kuwepo
Room 1 ina madirisha mawili tayari, hilo dirisha la tatu la kwenye corido liondoe, room 2 pia hilo la kwenye corido liondoe kisha sogeza hako kaukuta kadogo ili upate nafasi ya kuweka dirisha la pili (hapo penye blue)Mimi ndio nimemwambia iwe design hivyo boss, hata hiyo milango kwenye vyumba nahitaji kutenganisha chumba na bathroom, na nikiingia chumbani nisiingie na viatu. Vibaki nje.
Labda kwenye choo kile cha chumba na hayo madirisha ungenishauri ili nijue cha kumwambia arekebishe.
Designer amejitahid sana, yuko vzr. Hizi ni nyumba za bei mbaya, raman ya kishua kbs, Kwa hapa bongo utazion masaki tu. Jenga tu dada angu hain marekebisho iyoMimi ndio nimemwambia iwe design hivyo boss, hata hiyo milango kwenye vyumba nahitaji kutenganisha chumba na bathroom, na nikiingia chumbani nisiingie na viatu. Vibaki nje.
Labda kwenye choo kile cha chumba na hayo madirisha ungenishauri ili nijue cha kumwambia arekebishe.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Iyo miduara umenikumbusha lecture mmoja pale ardhi university [emoji23][emoji23]
Umeomba marekebisho, watu wanakupa marekebisho, unasema wewe ndio umetaka idizainiwe hivyo. Nashindwa kuelewa unataka nini hasa!Mimi ndio nimemwambia iwe design hivyo boss, hata hiyo milango kwenye vyumba nahitaji kutenganisha chumba na bathroom, na nikiingia chumbani nisiingie na viatu. Vibaki nje.
Labda kwenye choo kile cha chumba na hayo madirisha ungenishauri ili nijue cha kumwambia arekebishe.