Nisaidieni kugundua makosa ya hii floor plan

Nisaidieni kugundua makosa ya hii floor plan

Mimi ndio nimemwambia iwe design hivyo boss, hata hiyo milango kwenye vyumba nahitaji kutenganisha chumba na bathroom, na nikiingia chumbani nisiingie na viatu. Vibaki nje.
Labda kwenye choo kile cha chumba na hayo madirisha ungenishauri ili nijue cha kumwambia arekebishe.
Mkuu mlipe Mtu akufanyie kazi ya Uhakika! Sidhani kama huyo aliyechora Umemlipa AU Wewe ndiye uliyepewa kazi ya kudesign na huna uwezo huo AU Unajifunza kudesign
 
Mkuu mlipe Mtu akufanyie kazi ya Uhakika!
Sidhani kama huyo aliyechora Umemlipa AU Wewe ndiye uliyepewa kazi ya kudesign na huna uwezo huo AU Unajifunza kudesign
Boss kwann usitoe maelekezo ili tumpatie yeye mwenyewe arekebishe kuliko kumgombeza mtu kesha tumia muda wake mwingi hapo. Tupe ushauri ili tumwelekeze.
 
Mtoa mada ulivyompa kazi na kukuelezea mahitaji yako ilibid architect wako akushauri kwanza Kama unachokitaka kinamantiki kiufundi zaidi ama la .
Inaweza kuwa uliona sehemu dirisha lipo koridoni ukalipenda Ila kiufundi haipo sawa na inawezekana nyumba uliyoina ilikua na makosa mengi ya kiufundi Ila kwa jicho la kawaida vigumu kuona.
NB:
Fanya consultation na architect wako
 
Mtoa mada ulivyompa kazi na kukuelezea mahitaji yako ilibid architect wako akushauri kwanza Kama unachokitaka kinamantiki kiufundi zaidi ama la .
Inaweza kuwa uliona sehemu dirisha lipo koridoni ukalipenda Ila kiufundi haipo sawa na inawezekana nyumba uliyoina ilikua na makosa mengi ya kiufundi Ila kwa jicho la kawaida vigumu kuona.
NB:
Fanya consultation na architect wako
Boss ahsante sana kwa ushauri mzuri
 
Back
Top Bottom